kwa kweli ni ushindi hata kwenye historia tuliom anguko la tawala moja linakuja tawala lenye nguvu kila mtu ni shahidi millya tunakukaribisha kwa thati kama nayo dhamira yako ni ya dhati la sivyo tutakurudisha ulikotoka kama umetumwa,chadema nguvu ya umma inafanya kazi
serikali ya wezi hiyo naona hela za kuiba zimepungua wanajaribu kuwahadaa watanzania ili waibe hata kile kile kidogo kilichopo kweli ufisadi umekithiri serikali ya kikwete
ndo maana tunawaasa watz wajaribu upinzani waone na wao wanafanya nini kuliko kuendelea kuipa ccm nchi,na hiyo kweli kaka na tunajua hizo halmashauri mf.moshi v.ni balaa tupu
nyerere alifanya vema ila watanzania tunapaswa kujifunza suala la ujasiri wa kudai haki linatoka moyoni mwa mtu siyo la kufundishwa kwa ninachowaasa ndugu zangu siku za kusubiri zimekwisha tuamke tuikomboe nchi yetu sote tuwe wamoja tushikamane kwa nguvu ya uma tutafanikiwa
hakuna muda wa kusubiri wana CDM ujue biashara mapema mahesabu jioni 2015 tunatia timu ikulu then tunarekibisha nchi naomba tuwape saport viongozi wetu katika kuleta maendeleo watanzania hawa wanaosema 2025 wana ajenda yao
kimsingi magamba wanaendeleza siasa za kuiua nchi majibu ya matayo hajitoshelezi kabisa sasa kama tunaendelea kuwapa hawa jamaa ni dhahiri siku moja tutazikwa kabisa ndani ya ardhi yetu.
kiukweli nashangaa sana bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa maana kama mtu ni emloyeed na government unashindwa nini kumpa mkopo halafu uanze kukaata on the spot ili hiyo hela iweze kuwasomesha wengine kwa mfano kwa inservice 2000 unaweza kukusanya kama milioni 40 kwa mwezi kwa kuwakata elfu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.