kiukweli nashangaa sana bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa maana kama mtu ni emloyeed na government unashindwa nini kumpa mkopo halafu uanze kukaata on the spot ili hiyo hela iweze kuwasomesha wengine kwa mfano kwa inservice 2000 unaweza kukusanya kama milioni 40 kwa mwezi kwa kuwakata elfu 20000 kwenye mishahara yao kila mwezi ungeweza kusomesha wangapi kwa mshahari wa mwezi mmoja au ni kukosa kufikiri naombeni mawazo hapa