Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Ben, mi naomba niishie hapa, Albert namfahamu sana toka Ilboru, naomba nisiendelee kuongea kuhusu yeye hapa. Chamuhimu fahamu kuwa jamaa siyo mbunge material. Yupo vizuri kwenye sheria, aendelee tu na career yake. Mambo ya ubunge awaachie wengine.Rejao nawe.....!
Tunajua hizo ndiyo sera na falsafa zenu kwa muda huu.Lusinde ni reflection ya legacy na falsafa ya CCM majukwaani siku hizi. Hatuogopi kama mtaendelea kuienzi falsafa yenu hii.Ombwe la hoja CCM halina mbadala,ni lazima lizibwe kwa itikadi yenu hiyo ......lol