DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Lema 'no one another'
Nasikia kaenda brazil naomba akakabwe na mfupa wa samaki afe......
kwani waliompora ubunge ni CCm-arusha au Ikulu
mimi nilitazamia mkanganyiko utokee (serikalini)Ikulu
Ndugu wanaJf kama mnakumbuka baada ya sakata la kuvuliwa ubunge na mahakama katika hali ya mizengwe Mh.Lema alisema nafunga kwa siku saba. Na kama mnavyoona mkanganyiko ulioko Arusha ndani ya CCM ni dhahiri kuwa Mungu anajibu mapema. Naona tusubiri mengine mengi tu!!
Ni Lema huyuhuyu aliyeripotiwa na magazei kadhaa hapo awali kukesha akiiombea maiti irejeshewe uzima hadi ilipooza na kulazimika kwenda kuizika au....?