bibliography
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 614
- 226
arumeru mchezo nn?
Msamaha wa kodi nao ni chanzo cha upotevu wa mapato!
Nchi ya walalamikaji nilimsikia mkubwa wa TRA akisema wangekusanya zaidi kama isingekuwa vimemo wanavyolazimishwa watoe misamaha ya kodi unajuwa wamesame kwa kiasi gani kwa ripoti ya CAG ( 18%)
Sasa ndugu yangu embu tafiti uone nani wamesamehewa makampuni yote ambayo vigogo na watoto wao wana ubia na makampuni hayo ,kazi ipo kweli kweli
Watz huwa tunalishwa data tu na kuridhika. Viongozi wetu wanatuelewa vizuri sana. Ndiyo maana utamsikia rahisi kikwete anasifia uchumi unaojengwa na sirikali yake kwamba unakua kwa kasi kuliko nchi yoyote kusini mwa jangwa la sahara wakati wanachi mitaani hata mlo mmoja wanabahatisha tu.Wala hainiingii akilini, kuikubali lazima uwe na matatizo ya kifikra. Kwamba pesa iko tena wanavunja rekodi ila wale ambao kodi hukusanywa na kupekwa kwao HAWANA PESA? We are lacking strategists in this country!!!!!!