mchambakwao
Member
- Dec 9, 2011
- 77
- 14
sijakuelewa mchambakwao! ndo nn hiyo uliyomaanisha
Mkuu huu ni uhalisia wa viongozi wengi wa kiafrika ndani ya mioyo yao.Kama umefuatilia hapa Mombasa kuna kikundi cha watu wanaoaka Mombasa ijitenge,na je Tanzania viongozi si kama wanyama tu ndani ya mioyo yao wasiopenda kufuatilia matatizo ya wananchi wao!sijakuelewa mchambakwao! ndo nn hiyo uliyomaanisha