mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
nikiwa nina haki kikatiba.ya kuchagua kiongozi ama mimi mwenyewe kuchaguliwa kama kiongozi, nina nia ya kuchukua form 2015.endapo chama changu kitaridhia cv yangu.na kunipitisha kupeperusha bendera ya cdm.nitafurah kukutana ama na mwigulu ama yeyote toka chama cha magamba.najua humu jamvini kuna raia wengi wenye busara.za kunishauri.nakaribisha ushaur wenu.my take:matusi na kejeli si mahali pake.kama huna la kunishauri bs pita tu.