Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Chenge amemuumbua Mnyika...
Sasa naanza kuquestion uelewa wa Mnyika ambaye kwangu mimi namkubali sana!
Rejao, kweli maneno ya Chenge yana-shake uelewa wako juu ya Mnyika??
Ni faraja kubwa watanzania wanajionea kuwa ni nani adui wa maendeleo na ni nani anayepambania maendeleo.
Wingi wa wabunge wa CCM ndo unaotumika kurudisha maendeleo yetu ila siku njema haziishi ipo siku mtakua wapinzani alafu tutawasikiliza. Wait and see green guard.