The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Nafahamu lengo la chama chochote ni kushinda uchaguzi. Napenda kuwaambia CHADEMA kuwa katika chaguzi ijayo ya mwaka 2015 ninyi msikimbilie Ikulu kwanza but rather mhakikishe mnakuwa na mkakati maalumu wa kuwa na Wabunge zaidi 200 ili mambo mengi myatengeneze kabla ya kwenda Ikulu sasa mwaka 2025 hapo mtakuwa na mtaji mkubwa na sura kubwa ya Kitaifa mikoa yoote muwa na Wanachama na Wawakilishi wa kutosha ! Mfano Mtwara, Ruvuma, Lindi, Rukwa,Katavi, Njombe, Kagera, Tanga, Dodoma na kwingineko.....! Natamani mpate sura hiyo ya Kitaifa mwaka 2015 na ndipo plan yenu ya kwenda Ikulu itakuwa nyepesi sanaa tena kama kumskuma mlevi kama mlivyofanya Arumeru- East yaani hata kuiba washindwe hao CCM ! Good lucky.....!