Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimesoma gazeti Mwananchi kuhusu Ufisadi wa kutisha Serikalini. Pamoja na ufisadi huo, Halmashauri za Wilaya za Sengerema, Ludewa, Moshi, Kishapu, Kilindi, Monduli, Longido na Manispaa ya Ilala. CAG pia ameagiza kufanyike uchunguzi maalumu ktk Halmashauri za Arusha, Songea, Morogoro na Misungwi, zote hizo zinaongozwa na CCM.
MY TAKE
Ubadhirifu ktk Halmashauri ni kielelezo cha ufisadi Wizara mama TAMISEMI ya Mkuchika na Serikali kwa ujumla.
Wananchi tuukatae ufisadi huu kwa kutowapigia kura CCM.
MY TAKE
Ubadhirifu ktk Halmashauri ni kielelezo cha ufisadi Wizara mama TAMISEMI ya Mkuchika na Serikali kwa ujumla.
Wananchi tuukatae ufisadi huu kwa kutowapigia kura CCM.