nimeamini huwezi kumuongelea mtu kama humpendi imedhihirisha kiasi gan tunampenda kibonde bali tunatofauitana misimamo watanzania bado hatujafika sehemu tumchukie mwenzetu na kumuombea afe kisa ana support CCM utu kwanza mengine baadae... get well soon brother
Siwezi kubishana na ww utataka uniingize kwenye mabishano ya dini gani bora na mm cyawezi hayo all i can say iz tht mwenzetu amekwenda na sis tupo njiani kweli mungu mkubwa
hapo ndipo unapotakiwa kukubali kuwa viongozi wa Simba ni makini..Ochan the tyme anatua simba mashabiki wote hawakumkubali ila KABuRU na PHIRI ambao walimuona akicheza before walimtetea na leo tumeona faida yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.