Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

majini wake wameanza kuzagaa barabarani na njia panda...jamani kuweni macho hasa mnaopenda kutembelea maeneo ya fukwe.
 
Wana JF,

Taarifa nilizo nazo ni kwamba Yule shekh na Mnajimu mkuu Africa amefariki dunia jijini Dar leo.

Hii ni kwa mujibu wa Radion One Breaking News
 
Mods, Hizi threads za Sheihk Yahya naomba zichanganywe ibaki moja.
 
Jakaya kwishney,mlinzi wake kaondoka.Mwambieni Jakaya asikanyage tena jangwani kwani akianguka tu haamki tena.
 
Haa kafa siku moja kabla ya mwisho wa dunia....21/5/11...enenda bwana!!hapa duniani taabu tupu!!
 
usimhukumu. sio kazi yako. mwachie mwenye kazi ya kutoa hukumu kwa wanadamu. ameshafariki ziara yake ya duniani imefikia kikomo. yamfuatayo yako nje ya mikono yetu. nadhani huitaji kuwa Mtanzania kulijua hili. mweshimu marehemu..at least kwa masaa machache ambapo mwili wake tutaendelea kuwa nao hapa duniani. sijaipenda hii comment yako asilani. Hata kama sikuwa nakubaliana na mambo yake. please!
<br />



Easy Easy,Calm Down!!
 
Ni kweli amekufa? Na kama ni kweli tuseme yule aliekua anadai anamlinda mwisho wake umefika? Maana mlinzi wake ka-rest in peace au kamuachia urithi! Jk pole kwa kumpoteza mlinzi mjaribu yule mngine anaeibukia kwenye mambn hayo awe mlinzi wako!
 
Mnajimu na Mtabiri maarufu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein amefariki dunia asubuhi hii jijini Dar es Salaam.
Chanzo chetu cha habari ndani ya ofisi ya Sheikh Yahya kimesema mtabiri huyo amefariki dunia wakati akikimbizwa Hospitali ya Ukombozi iliyopo Morocco, jijini.
Sheikh Yahya amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo kwa muda mrefu na aliwahi kwenda India kwa matibabu. Habari zaidi tutawaletea katika mtandao huu na magazeti yetu.


Thank Lord the Merchant of Death and Chaos is finally Gone to HELL. God Bless Tanzania.....
 
Poleni wafiwa maisha ndivyo yalivyo, yana mwanzo na mwisho
 
Poleni wafiwa

kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima atayaonja mauti.
 
Katangulia kutuandalia makao.
Kesho (21.05.2011) wengine WOTE wanamfuata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom