Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Ndugu wa Jamii,

Poleni sana kwa Msiba wa Mnajimu Mkuu wa Tanzania na Afrika Mashariki,

R.I.P sheikh Yahaya Hussein,

Watanzania tusiwe na tabia ya kufurahia mtu akifa,vitabu vitakatifu vinatufundisha kulia na kuomboleza,na wafiwa,tuachane na tabia/siasa za chuki,sisi watanzania ni wamoja na wapenda amani.

WORD...m nawashangaa watu walivyo selfish
 
kuwa mpole kaka, madhehebu mengine hayaamini katika kumuombea mtu aliyefariki, kama wewe inawezekana just muombee ila usilazimishe wenzako.

Siwezi kubishana na ww utataka uniingize kwenye mabishano ya dini gani bora na mm cyawezi hayo all i can say iz tht mwenzetu amekwenda na sis tupo njiani kweli mungu mkubwa
 
Nyie mnaonekana ni true watz....kuficha ficha mambo ndio maana miwshowe mnaumbuka kwa matatizo.....nakumbuka Uganda miaka ya 80 ilikupambana na AIDS ukifa na ngoma siku ya msiba unatangazwa kabisa.....manumbu kafariki kwa HIV!!!!....

NYIE tz kila mtu anakufa kwa kisukari.....ndio maana mnazidi kuwa maskini wakubwa kwa kuona aibu kuambiana ukweli......

Nani asiejua yahaya alikuwa mchawi,mwongo na mchonganishi kwa watanzania??......vitabu vinatuambia watu wa namna hiyo hawawezi kufika mbinguni.......suala la marehemu hasemwi imeandikiwa wapi? nipe aya


We Mwehu nini? ama dunia imekuteka mpaka ukasahau adhabu ya kabri.Hakuna utani wala kicheko kwenye kifo labda kwa mwenda wazimu ka wewe usiye jua madhambi mangapi unayo na nini hatimayako baada ya kifo.Hiyo jeuri ya kutamka haya umeitoa wapi?Nonsense kabisa.
 
atafufuka SIKU YA NNE Ona sasa kafa Ijumaa jamani!!! atamweleza nini Nyerere kuhusu wanaMagamba na Mafisadi Papa aliowakataa akina Edu Rost na Cheng
 
RIP Sheikh Yahaya Hussein.

Taifa linakulilia umeondoka wakati bado tunahitaji ulinzi wa kiongozi wetu mpendwa JK,ni nani umemwachia mikoba ya ulinzi ?.
Taifa linakulilia umeondoka bila kuaga uliowatabiria na wakaamini utabiri wako umewaacha njia panda.
Taifa linakulilia umeondoka bila kujitabiria mwenyewe kwamba utaondoka 20/05/2011 na kuzikwa 21/05/2011.
Taifa linakulilia umeondoka bila kuacha usia ni nani atailinda CCM na viongozi wake wanategemea uchawi na ushirikia ili kushinda uchaguzi.
Taifa linakulilia umeondoka ni nani atatuchagamsha kila wakati wa uchaguzi unapofika ?.
Taifa linakulilia umeondoka ni nani atatutabiria ulituzoeza kuishi kwa utabiri.
 
Mungu kasikiliza sara za watanzania kuongozwa na majini

Mungu ibariki Tanzania
Mungu wabariki Watanzania
 
Kauli za kichawi za shehe yahaya....
"Natabiri kuwa Kikwete ndiye Rais mpya wa mwaka 2010 na atakayempinga katika chama chake atakufa ghafla. Natabiri ushindi wa Rais Kikwete mwakani utaleta serikali ya mseto Tanzania Bara na Tanzania Visiwani," alisema Shekhe Yahya.

Alisema kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Lawrence Gama, ni ishara ya ushindi mkubwa wa Rais Kikwete katika uchaguzi wa mwakani. Alisema kifo hicho ni ishara kwa Rais Kikwete kushinda kura za maoni na kupata tiketi ya CCM, ili kugombea urais katika muhula wa pili.

Mnajimu huyo pia alitabiri kutokea kwa kifo cha kiongozi mmoja wa zamani wa kitaifa katika kipindi cha ya kati ya sasa na Aprili mwakani.

Huyu shehe alikuwa mchawi period.......anaebisha abishe tu kwa sababu zake za kinafiki ati marehemu hawasemwi.......
 
2peni News zaidi kwa walio karibu makazi ya kwake,maana Mi sijaamini kweli. Mmmmmh!!
Kwa mujibu wa Radio 1 breaking news Sheikh Mkuu Issa Bin Simba ni kweli Sheikh Yahaya amefariki leo na atazikwa kesho
 
We Mwehu nini? ama dunia imekuteka mpaka ukasahau adhabu ya kabri.Hakuna utani wala kicheko kwenye kifo labda kwa mwenda wazimu ka wewe usiye jua madhambi mangapi unayo na nini hatimayako baada ya kifo.Hiyo jeuri ya kutamka haya umeitoa wapi?Nonsense kabisa.
Mwehu ni Shehe mchawi Yahaya mlinzi wako na majini yake....
Alisema Shibuda atakufa....yeye nani? mwehu sio?
 
vp JK alishapata newz au watamsubiri arejee kutoka windhoke please msimsahu Marine wa jambo tanzania
 
hapana ndugu mtu amefariki lakini bado wanaendeleza siasa badala ya kumuombea hebu tuache ujinga ndugu zanguni tunapoelekea sio kuzuri

Ok dont worry! Remember dat God did not put people the ability to always make right decision.
"Mwanadamu ni mavumbi na mavumbi utarudi. May sheikh Yahaya Soul R.I.P."
 
Yule mnajimu na mtabiri maarufu afrika (shekhe yahaya) amefariki dunia leo nyumban kwake. Anazikwa kesho!
Source. E.a. radio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom