Aliyekuwa mchezaji wa soka katika klabu ya simba raia wa Uganda Patrick Ochan ameuzwa katika klabu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbushi katika jamhuri ya demokrasia ya Congo.What is this? Please explain
mpaka sasa tumevuna zaidi milion 500 haya ni matunda ya mechi za kimataifa na uongozi bora kuna watani zetu walisha wahi kunua wachizaji wa kimataifa lakini hawakuuza mchezaji hata mmoja samatta, ochan na okwi j3 anaenda south napo tutegemee mil 500..
Tegete alipata timu nje akarudishwa kwa sababu ya mechi ya Simba na Yanga....Yaani walinunua ili wauze, halafu hawakuuza! Pia walikuwa na wa kuwauza halafu hawakuuzika.
Tegete alipata timu nje akarudishwa kwa sababu ya mechi ya Simba na Yanga....
Ni upeo finyu wa viongozi wetu na kurupuka kwa wachezaji wetu katika kusaini mikataba....Boban alikaa karibu miezi miwili kabla haja saini mkataba je alishindwa kufatilia ghara za maisha ya huko ni inavyoelekea alienda bila kujua atalipwa kiasi gani kwa mwezi alienda kugundua akiwa huko.....ha ha ha ha ah ahaaaa umenichekesha sana mkuu.. kwa hiyo jamaa waliona mechi ya simba na yanga ndio muhimu zaidi?
wachezaji wa kibongo bana hii imenikumbusha ishu ya boban
mpaka sasa tumevuna zaidi milion 500 haya ni matunda ya mechi za kimataifa na uongozi bora kuna watani zetu walisha wahi kunua wachizaji wa kimataifa lakini hawakuuza mchezaji hata mmoja samatta, ochan na okwi j3 anaenda south napo tutegemee mil 500..
wacha utani mkuu,ni kweli hii?yani ujue umefanya nipaliwe na hii Alvaro yangu kwa mshtuko wa hasira!kama ndo hivi hawa watoto (na ngasa,nimesikia anarudi) watazeekea hapo wakijivunia tu kuendesha GX-100 .Tegete alipata timu nje akarudishwa kwa sababu ya mechi ya Simba na Yanga....