Wanajamii
Kwa Majonzi Makubwa sana, napenda kuwapa taarifa kwamba, SHEHE YAHAYA IS NO MORE.
Poleni sana
Source, Mimi Mwenyewe
Tatizoina bidi wakazi wa dar wakae vizuri maana yale majini yake hayana pa kwendaDu!..hata sikusikia kama kaumwa karibuni..!Kama kweli apumzike anapostahili..Mganga hajigangi,lol!!
Ndio mkuu......uko alipo sasa hivi imani yake inamwambia atakuwa na mabikira kibao anawavinjari.......huyu jamaa wacha afe tu.....kafanya maisha ya watz yawe magumu kwa uchawi wake.....angekuwa mnajimu huyo ni mwanamke angepewa watu gani? kwahiyo hata watu wakifa Uzinzi unaendelea tu!.
pole sana jakaya kikwete na wafiwa kama habari hizi zinaukweli!
Kama ni kweli itabidi JK akatishe kikao cha SADC NAMIBIA aje kumzika uyu mnajimu wake.
Atakufa yeye na si muda mrefu atawaacha wale aliowatabiri akuwa watakufa. Yaani chama kinachotegemea mizimu, nyota, majini, maruhani, majuha, etc ni hatari na hakifai kabisa. Tena mnatumia vyombi vya habari kukazia ushuzi huo, upo Salva R?
Pole sana Jakaya Kikwete na wafiwa kama habari hizi zinaukweli!