MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,432
Mkuu si kukurupuka huu ndo muda muafaka kuwaumbua, akina Sitta walikuwa kwenye sherehe kufanikiwa kuwavuruga akina Lowassa, sasa CDM wamewapiga kuwavuruga zaidi.Hawa wanasiasa wananichanganya hata siwaelewi..huyu mpendazoe nae anakurupuka sana.
Hii ni furaha kwa kina Lowassa hivyo hapo CCM inazidi kubaki halijojo. Lakini pia hawa wakina Sitta ni wanafiki, mara nyingi wanakuwa wakali maslahi yao yakiguswa na wanatumia uchafu wa wenzao si kwa maslahi ya taifa rejea issue ya Richmond uwajue vizuri hawa watu na sasa CCJ yale yale!