Hujui nini maana ya cheo, hawazidiani cheo cha uaskofu,lakini cheo cha mfuatano wa kikangazi ya kanisa kwa kufuata hairakia ya kanisa Pengo ni mkubwa kuliko askofu mwingine wa nchi na taifa la kikanisa.
KUMBE MWAROBAINI WA KUHESHIMIANA NA MSHIKAMANO NI MTU.
Huyu tumempata na kumbe dawa anayo ili kutufanya kuwa wamoja kitaifa na kuleta heshima kwa taifa hili likiwemo la kuheshimiana sisi kwasisi,na lile la mtoto wa fulani akiingia hotelini basi wote tushindwe kula,akiingia “disco” basi DJ,na...
Miezi minne iliyopita nilishindwa uvumilivu wa kuishi "singo" nikaona bora nianze mikakati yakumchumbia binti ambaye nilionana nae Ilala Boma,hapa Dar.....cha ajabu baada ya mahusiano ya wiki chache huyu binti ananiambia anamvulana anayempenda oia na mimi ananipenda,lakini nisimtolee siri kwamba...
Wanapendana kuliko watu wote duniani,hawa wayahudi,wanaongoza mataifa yote makubwa kutokea israeli,ufaransa,ujerumani,uingereza,markani n.k top secret za mataifa hayo ni za kwao kutokea middle east Israel.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.