Ila aangalie dume mwenzake asije akampeleka Mombasa na yeye...Kaka kwani we upendi threesome..... Habari ya mujini!
Common sense haiko common kiivyo, itakua kwake haipo... Maana hilo ni shetani sio mwanamkebraza...huna common sense?
shukuru sana kakwambia ukweli hapo sepa kimya kimyMiezi minne iliyopita nilishindwa uvumilivu wa kuishi "singo" nikaona bora nianze mikakati yakumchumbia binti ambaye nilionana nae Ilala Boma,hapa Dar.....cha ajabu baada ya mahusiano ya wiki chache huyu binti ananiambia anamvulana anayempenda oia na mimi ananipenda,lakini nisimtolee siri kwamba yeye anapenda kufanya mapenzi na wanaume wawili kwamba huyo mwenzangu mwingine amekubali na amenionyesha mpaka " chats " zake.....halafu huyu binti msomi mzuri,hivi huu ushetani kumbe upo bongo? Am so sad.
Kuna watu wanatamani wangekuwa ndo wewe
jamani hahaha hahaha hahahaLakini naye ana hasara kumpata mwanaume mmbeya...si alikuomba usiwaambie watu?
Dada yangu mapenz hayako hivyo lbd km mnadanganya tu.NAMshangaa huyu sijui kachelewa wapii
Dada yangu mapenz hayako hivyo lbd km mnadanganya tu.
Hebu geuza hii tukio km lako. Huyo mtu wako anakuambia huu upuuz utakubali?
Huyo atakuwa anapiga dabo, yaani anavunja kabati na mbeele pia kunashighulishwa kwa wakati mmoja.Miezi minne iliyopita nilishindwa uvumilivu wa kuishi "singo" nikaona bora nianze mikakati yakumchumbia binti ambaye nilionana nae Ilala Boma,hapa Dar.....cha ajabu baada ya mahusiano ya wiki chache huyu binti ananiambia anamvulana anayempenda oia na mimi ananipenda,lakini nisimtolee siri kwamba yeye anapenda kufanya mapenzi na wanaume wawili kwamba huyo mwenzangu mwingine amekubali na amenionyesha mpaka " chats " zake.....halafu huyu binti msomi mzuri,hivi huu ushetani kumbe upo bongo? Am so sad.
Kwakweli hakuna tatizo, hakuna kabisaMbona mwake tuuu...et wapenzi wangu The Boss Evelyn Salt
Hongera yako. Nafikiri ww utakuwa mwanamke wa darMbona mwake tuuu...et wapenzi wangu The Boss Evelyn Salt
Mkuu hapo mke hauna kbsa. Huyo mwanamke ni hasara kbsa zaid ya hasara.Miezi minne iliyopita nilishindwa uvumilivu wa kuishi "singo" nikaona bora nianze mikakati yakumchumbia binti ambaye nilionana nae Ilala Boma,hapa Dar.....cha ajabu baada ya mahusiano ya wiki chache huyu binti ananiambia anamvulana anayempenda oia na mimi ananipenda,lakini nisimtolee siri kwamba yeye anapenda kufanya mapenzi na wanaume wawili kwamba huyo mwenzangu mwingine amekubali na amenionyesha mpaka " chats " zake.....halafu huyu binti msomi mzuri,hivi huu ushetani kumbe upo bongo? Am so sad.