Uwiiiiiiieee yeuwiiiii jaman nimechekaNadhani mleta mada alikuwa anayataka majibu kama haya japo katika UZI wake amejifanya kuwa smart. Nishauri tu ni vyema kama unataka kujua tabia za Mtu positive na negative basi tuache " kuzunguka " KINAFIKI na badala yake tuwe tunauliza tu moja kwa moja.
Cyo mdogo wake mm na cna undugu nae wala ujamaa nae, namkubali kama mwanahabari mzuri, na siku zite sifichi kusema ukweli penye ukweliKwahiyo wew kibwana dachi hii ndo ID ya mdogo wako humu au...yaan mdogo wako unamtuma aje kukusifia humu daah bongo bana
Mbna hakuna unafkiNadhani mleta mada alikuwa anayataka majibu kama haya japo katika UZI wake amejifanya kuwa smart. Nishauri tu ni vyema kama unataka kujua tabia za Mtu positive na negative basi tuache " kuzunguka " KINAFIKI na badala yake tuwe tunauliza tu moja kwa moja.
DeadHuyu Jomba yuko sawa sana namkubali kuliko maelezo. Ktk kipindi cha morning magic mvurugaji na anaejisikia yeye ni mwanzo na mwisho ni huyu Orest, nafikiri atakuwa na mfupi wa kimo maana ubishi wake unajieleza.
kosa langu nini hapo mkuu au hujui maana ya neno MUCH KNOW!!?Kachambue Wewe basi tuone / tusikie uwezo wako. Mawazo ya WIVU kama haya ndiyo yanatufanya kila siku Tanzania " tutambae " wakati wenzetu waliojitambua na kuheshimiana " wanatembea " kama siyo " kukimbia " kabisa.
Umenitangulia mkuu... Nilitaka kuuliza kwahivyo umesafisha njia asanteHivi hizo DTV na C2C bado zipo?
Kachambue Wewe basi tuone / tusikie uwezo wako. Mawazo ya WIVU kama haya ndiyo yanatufanya kila siku Tanzania " tutambae " wakati wenzetu waliojitambua na kuheshimiana " wanatembea " kama siyo " kukimbia " kabisa.
I miss you,much!
Mimi naombeni picha yake tu.
Natamani kumjua.
Duuuuuuh kumbe ndio huyu?
Mimi nimelimisi tu hilo " wowowo " lako Beibe. Hakyanani Nifah umeumbika na laiti members wote humu wangekuwa wanakufahamu ulivyo nakuambia wangesema " Beyonce " kaja holiday Tanzania. Namuonea sana " wivu " Mumeo kwani hakika anafaidi kazi ya uumbaji wake Maulana. Pole kwa BAN ya " mwendokasi " na sasa uwe na adabu humu tafadhali. Glad to see you back Honey " mwaaaaaaaaaaaaaah ".