Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

huyu jamaa limeyumba sana asa ana lipi la maana ama hii kuteka tena na kuua kibwege bwege na kuzidi kupaa kwa deni la taifa.


duh amesema pale kuna wanaonitukana kama ww mkuu
 
kuingoza nchi na kuiletea maendeleo kama ilivyo sasa kutokana na kazi hiyo kuwa ngumu na kuhutaji viongozi kujitoa kwa moyo katika kufanikisha hilo.

Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 1, alipokuwa akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuwa Tanzania sasa imekuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingine.

“Mara nyingi tumeambiwa kuwa Tanzania ni masikini, ninaomba neno hilo tulifute kwani nchi yetu ni tajiri lakini tulitaka kuaminishwa na watu waliotaka kututumia, kuna miradi imetumia matrilioni ya fedha saa nyingine ninajiuliza kweli hili limewezekana, tumeweza maana yake kila palipo na nia Mungu yupo pamoja na sisi,” amesema.

“Siwezi nikasimama mbele za watu nikasema haya ni kwasababu yangu kwani mimi ni dereva tu lakini pia huwa ninajiuliza ikitokea siku Mungu akanichukua hao watakaokuja watayamaliza kweli kwasababu panahitaji moyo, unafanya hivi huku unatukanwa lakini inabidi ufanye kwaajili ya Watanzania, inahitaji kujitoa sadaka ya kweli,” amesema.

“Ninamshukuru Mungu kwa kuendelea kulisimamia taifa hili na ninawashukuru Watanzania wenzangu kwa kuendelea kuniombea na kunipa moyo, nchi yetu sasa imekuwa ya mfano watu wanatuogopa sasa, wapo wanaouliza mnapata wapi fedha mimi ninasema zilikuwa kwa mafisadi sasa zinaenda kwa Watanzania,” amesema.
Wataweza lakini kuweza kwao ni lazima yeye atawale mpaka 2035 ili aweke mambo sawa kwanza
 
Kuingoza nchi na kuiletea maendeleo kama ilivyo sasa kutokana na kazi hiyo kuwa ngumu na kuhutaji viongozi kujitoa kwa moyo katika kufanikisha hilo.

Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 1, alipokuwa akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuwa Tanzania sasa imekuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingine.

“Mara nyingi tumeambiwa kuwa Tanzania ni masikini, ninaomba neno hilo tulifute kwani nchi yetu ni tajiri lakini tulitaka kuaminishwa na watu waliotaka kututumia, kuna miradi imetumia matrilioni ya fedha saa nyingine ninajiuliza kweli hili limewezekana, tumeweza maana yake kila palipo na nia Mungu yupo pamoja na sisi,” amesema.

“Siwezi nikasimama mbele za watu nikasema haya ni kwasababu yangu kwani mimi ni dereva tu lakini pia huwa ninajiuliza ikitokea siku Mungu akanichukua hao watakaokuja watayamaliza kweli kwasababu panahitaji moyo, unafanya hivi huku unatukanwa lakini inabidi ufanye kwaajili ya Watanzania, inahitaji kujitoa sadaka ya kweli,” amesema.

“Ninamshukuru Mungu kwa kuendelea kulisimamia taifa hili na ninawashukuru Watanzania wenzangu kwa kuendelea kuniombea na kunipa moyo, nchi yetu sasa imekuwa ya mfano watu wanatuogopa sasa, wapo wanaouliza mnapata wapi fedha mimi ninasema zilikuwa kwa mafisadi sasa zinaenda kwa Watanzania,” amesema.
Hiyo kauli siyo mara yake kwanza kutamka alivyokuwa anasaini mkataba wa Daraja la Agakhani aliongea hivyo hivyo!

" Hii ni miaka mitatu Je, miaka 30 ijayo Tanzania nitaipeleka mbali sana"
 
Alisha wahi kusema muda wake wakuondoka ukifika, hatachelewa hata SAA moja.
Hawa watu sio wakubibidhana nao ndugu yangu. Hawa waliwakandamiza watanzania mpaka wakawa wanaishi Kama mashetani sasa ni zamu yao... Wanachofikiria mifuko yao ijae mahela tu.. Na yote yanayo fanyiaka wao hawaoni maana ndizo heza hela wao walikua wakizitia mifukoni mwao..
 
“Mara nyingi tumeambiwa kuwa Tanzania ni masikini, ninaomba neno hilo tulifute kwani nchi yetu ni tajiri lakini tulitaka kuaminishwa na watu waliotaka kututumia, kuna miradi imetumia matrilioni ya fedha saa nyingine nina

Ni kweli nchi si masikini, bali viongozi wameshindwa kutumia rasilimali zilizopo kistaarabu ili kuwaletea watu maisha bora.
Kwa nionavyo mimi, hii nchi imesha uzwa.

- Watu wanapiga kelele kuwa tutaakikisha mali za watanzania zitawafaidi wate, kijnyume chake bado zinatumiwa na wachache hasa kupeleka maendeleo kwao (Ukabila na ukanda)

- Watu wamedhulumiwa na kunyang'anywa fedha zao, na wakipinga wanatekwa. Hizo fedha zinapelekwa kwenye miradi, wanasema tumefanya haya kwa fedha za ndani

- TRA ndo tena kabisa, Ukilipa wanakuambia umelipa kidogo, unapewa makadirio makubwa na adhabu juu.
KIPANYA.jpg



Sasa kwa mtindo huu kwa nini mwizi hasiwe na pesa?
 
Tukiacha ushabiki wa vyama kusema ule ukweli JPM amejitahidi sana katika kuweka mambo sawa, kaifanya Tanzania kuwa nchi ya watanzania wote na sio mali ya kikundi fulani kama ilivyokua imezoeleka, ni kiongozi mwenye maono , yale ayafanyayo leo impact yake itakuja kuonekana miaka ijayo.
 
Back
Top Bottom