Jamani naomba mnisaidie, kilasiku tunaambiwa hali ya umeme itakaa sawa, nisaidieni itakaa sawa kivipi?
Sasa tunaambiwa maji mtera yanaisha, ivo kweli haiwezekani kutoa maji bahari ya Hindi au kwenye maziwa ya nchi hii kupeleka mtera ili umeme urudi katika hali yake?
Shida ni kwamba nchi hii...