NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 233
Wapendwa wana JF,
1. Ningependa kwanza tufahamu kuwa kuna hii nafasi ya ufadhili kimasoma (hapo juu) ambapo sisi kama watanzania tuna nafasi ya kuomba na ikiwa mtu atakuwa na bahati basi anaweza kwenda kusoma huko UK.
2. Nimejaribu kufuatilia kwenye internet kuona uwezekano wa namna ya kuomba hizo za scholarship specifically for PhD (for my case) lakini imeonyesha kuwa applications procedures for scholarship (Not for admission) should start at your home country. Na kwa hapa kwetu Tanzania imeonyeshwa agent for Commonwealth scholarship ni Katibu mkuu wa MOEVT.
MASWALI YA MSAADA KTK HILI:
(a). Kuna mtu ambaye amefanikiwa kupata hii scholarship either for Masters or PhD.? au kuna jamaa ambaye unafahamu alifanikiwa?
(b). kutoka na swali .a. hapo juu, je ni utaratibu gani hasa hapa bongo unatumika ku-apply hiyo chance of funding au wapi naweza kupata maelekezo mazuri ya namna ya kuomba hiyo scholarship ha hatimaye niweze kufikia lengo?
(c). Hakuna zengwe linafanywa ili kutoa nafasi za upendeleo kwa baadhi ya waombaji ?(NB: lengo ni kutaka kuchukua tahadhari mapema).
Natanguliza shukrani zangu za dhati wakuu, na ni imani yangu kuwa MAELEZO/MWONGOZO MTAKAONIPA PIA UTAWASAIDIA WADAU WENGI HUMU JF Ili hatimae tuweze kutumia hiyo nafasi ya Commonwealth scholarship vema.
Nawasilisha wakuu.
1. Ningependa kwanza tufahamu kuwa kuna hii nafasi ya ufadhili kimasoma (hapo juu) ambapo sisi kama watanzania tuna nafasi ya kuomba na ikiwa mtu atakuwa na bahati basi anaweza kwenda kusoma huko UK.
2. Nimejaribu kufuatilia kwenye internet kuona uwezekano wa namna ya kuomba hizo za scholarship specifically for PhD (for my case) lakini imeonyesha kuwa applications procedures for scholarship (Not for admission) should start at your home country. Na kwa hapa kwetu Tanzania imeonyeshwa agent for Commonwealth scholarship ni Katibu mkuu wa MOEVT.
MASWALI YA MSAADA KTK HILI:
(a). Kuna mtu ambaye amefanikiwa kupata hii scholarship either for Masters or PhD.? au kuna jamaa ambaye unafahamu alifanikiwa?
(b). kutoka na swali .a. hapo juu, je ni utaratibu gani hasa hapa bongo unatumika ku-apply hiyo chance of funding au wapi naweza kupata maelekezo mazuri ya namna ya kuomba hiyo scholarship ha hatimaye niweze kufikia lengo?
(c). Hakuna zengwe linafanywa ili kutoa nafasi za upendeleo kwa baadhi ya waombaji ?(NB: lengo ni kutaka kuchukua tahadhari mapema).
Natanguliza shukrani zangu za dhati wakuu, na ni imani yangu kuwa MAELEZO/MWONGOZO MTAKAONIPA PIA UTAWASAIDIA WADAU WENGI HUMU JF Ili hatimae tuweze kutumia hiyo nafasi ya Commonwealth scholarship vema.
Nawasilisha wakuu.