CHADEMA: Kwa fursa hizi, nchi ni yenu 2015

Entrepreneur

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
1,087
620
CDM ni chama kilichotengeneza fursa nyingi sana tangu kuanzishwa kwake. Lakini fursa nyingi zaidi zilitengenezwa kipindi cha 2005-2010 na wengi walitegemea msumari wa mwisho kwenye jeneza la CCM ungepigiliwa rasmi mwaka 2010 kwenye uchaguzi uliopita. Lakin haikuwa hivyo. CDM walipata viti ving vya ubunge (ukilinganisha na mwaka 2005) lakini CCM walipata vingi zaidi. CDM walipata kura nying za Urais (ukilinganisha na vyama vingine vya upinzan), lakini CCM walipata nying zaidi (wengine wanasema walichakachua-SI HOJA YA LEO)

Lakini kwa muktadha huo huo, kura za urais na nafasi nyingi za CCM zilikuwa zimepungua hivyo kuwalazimu kujitazama UPYA, ni kwa nini kura zao zilipungua wakaja na mkakati wa kujivua gamba (wengine wanasema ni usanii-SI HOJA YA LEO). Sasa kwa chama makini kama CDM walitakiwa kujitazama UPYA ni kwa nini kura zao hazikutosha? Je nini kifanyike ili uchaguzi ujao kura zitoshe?

Lakini hali inavyoonyesha kuna hali ya kuridhika na IDADI ya wabunge waliopatikana ilihali ukijumlisha wabunge wote wa upinzani bado hawafikii hata robo tatu ya wabunge wa CCM, na ndio maana HOJA makini zinashindwa kupita. Sasa kwa kuwa CDM inajulikana kwa kuibua HOJA nzito na MAKINI na kwa kuwa CCM wapo tayari kudandia HOJA na kuifanya yao (i.e KATIBA MPYA, POSHO n.k), mkakati mkubwa zaidi ya MAANDAMANO unahitajika pamoja Kuendelea kujenga HOJA (hata kama zitaibiwa). Niseme wazi tu kuwa, maandamano ya CDM yanawaamsha Watanzania wengi juu ya haki zao na wajibu wao hivyo ni vizuri yakaendelea. Lakini si kila suala linahitaji maandamano na matamko


W
akati umefika sasa wa kutumia njia nyingine, wakati maandamano yakiendelea kama kawaida, kwani CCM watatumia njia zote hata chafu ili kuhakikisha CDM inapotea. Hivyo ninapendekeza kuwe na timu nne za kuratibu mambo manne tofauti yafuatayo

1.
Kutumia njia za Kisheria
Kwa kuwa si kila suala linahitaji maandamano, basi ni vyema timu hii ikajihusisha na maswala ya kisheria kwa wale wote wanaopindisha sheria ili kupora haki za raia na za wanasiasa wetu. Mf. Mauaji, uchaguzi batili n.k

2.
Maandamano
Hii inajulikana

3.
CDM ndani ya Jamii
Timu hii ijihusishe na kutatua kero ndogondogo katika jamii, kwa vile CDM ina ushawishi mkubwa wa watu. basi itakuwa rahis kuwaorganise wananchi ili washiriki katika shughuli hizi. Mf. Uwezeshaji wa vijana kiuchumi, Ujenzi wa vyoo, upakaji rangi majengo n.k.

4.
Mavuno
Operation zote zilizofanywa na CDM zimezalisha wafuasi wengi sana, hivyo ni muhimu kuwa na timu ya kuratibu wafuasi hawa ili waingizwe kwenye mfumo rasmi wa chama, pamoja na kuwa na chombo chao cha uongozi katika eneo lao.

Nawasilisha
 
Kwa kuzingatia dhana hii ya in the Society, au Social Responsibility, CCM wamekuja na Mpango wa Kuwawezesha Vijana Kiuchumi- na wameanza kuto Bodaboda. Sasa kwa chama chenye Mtaji mkubwa wa vijana kama CDM ni bora wakaenda mbele ya hapo. Wapo wanaodhani ile taasisi ya ArDF ilianzishwa kukidhi matakwa hayo but katiba ya ArDF inasema ni Non Partisan.
 
mkuu nakubali yote uliyoyabandika hapa ila subiri faiza fox atakavyoandika matapishi yake
 
CDM ni chama kilichotengeneza fursa nyingi sana tangu kuanzishwa kwake. Lakini fursa nyingi zaidi zilitengenezwa kipindi cha 2005-2010 na wengi walitegemea msumari wa mwisho kwenye jeneza la CCM ungepigiliwa rasmi mwaka 2010 kwenye uchaguzi uliopita. Lakin haikuwa hivyo. CDM walipata viti ving vya ubunge (ukilinganisha na mwaka 2005) lakini CCM walipata vingi zaidi. CDM walipata kura nying za Urais (ukilinganisha na vyama vingine vya upinzan), lakini CCM walipata nying zaidi (wengine wanasema walichakachua-SI HOJA YA LEO)

Lakini kwa muktadha huo huo, kura za urais na nafasi nyingi za CCM zilikuwa zimepungua hivyo kuwalazimu kujitazama UPYA, ni kwa nini kura zao zilipungua wakaja na mkakati wa kujivua gamba (wengine wanasema ni usanii-SI HOJA YA LEO). Sasa kwa chama makini kama CDM walitakiwa kujitazama UPYA ni kwa nini kura zao hazikutosha? Je nini kifanyike ili uchaguzi ujao kura zitoshe?

Lakini hali inavyoonyesha kuna hali ya kuridhika na IDADI ya wabunge waliopatikana ilihali ukijumlisha wabunge wote wa upinzani bado hawafikii hata robo tatu ya wabunge wa CCM, na ndio maana HOJA makini zinashindwa kupita. Sasa kwa kuwa CDM inajulikana kwa kuibua HOJA nzito na MAKINI na kwa kuwa CCM wapo tayari kudandia HOJA na kuifanya yao (i.e KATIBA MPYA, POSHO n.k), mkakati mkubwa zaidi ya MAANDAMANO unahitajika pamoja Kuendelea kujenga HOJA (hata kama zitaibiwa). Niseme wazi tu kuwa, maandamano ya CDM yanawaamsha Watanzania wengi juu ya haki zao na wajibu wao hivyo ni vizuri yakaendelea. Lakini si kila suala linahitaji maandamano na matamko

W
akati umefika sasa wa kutumia njia nyingine, wakati maandamano yakiendelea kama kawaida, kwani CCM watatumia njia zote hata chafu ili kuhakikisha CDM inapotea. Hivyo ninapendekeza kuwe na timu nne za kuratibu mambo manne tofauti yafuatayo

1.
Kutumia njia za Kisheria
Kwa kuwa si kila suala linahitaji maandamano, basi ni vyema timu hii ikajihusisha na maswala ya kisheria kwa wale wote wanaopindisha sheria ili kupora haki za raia na za wanasiasa wetu. Mf. Mauaji, uchaguzi batili n.k

2.
Maandamano
Hii inajulikana

3.
CDM ndani ya Jamii
Timu hii ijihusishe na kutatua kero ndogondogo katika jamii, kwa vile CDM ina ushawishi mkubwa wa watu. basi itakuwa rahis kuwaorganise wananchi ili washiriki katika shughuli hizi. Mf. Uwezeshaji wa vijana kiuchumi, Ujenzi wa vyoo, upakaji rangi majengo n.k.

4.
Mavuno
Operation zote zilizofanywa na CDM zimezalisha wafuasi wengi sana, hivyo ni muhimu kuwa na timu ya kuratibu wafuasi hawa ili waingizwe kwenye mfumo rasmi wa chama, pamoja na kuwa na chombo chao cha uongozi katika eneo lao.

Nawasilisha

Magwanda bana, ya Arusha na Shibuda hayajaisha mnaleta upupu mwingine. Hayo yote yanahitaji rasilimali ambazo kwa chama kichanga km CDM hawawezi kuyafanya hata chembe. Chama kimefilisika hv sasa, maofisi huku mikoani yanadaiwa kodi, watumishi mishahara wengine hawajalipwa. Huku Slaa akila raha kwa kununuliwa shangingi na kulipwa mafao makubwa km ya mbunge. CDM mnakwenda wapi ????? ni ndoto za kusadikika 2015 kuchukua nchi
 
Magwanda bana, ya Arusha na Shibuda hayajaisha mnaleta upupu mwingine. Hayo yote yanahitaji rasilimali ambazo kwa chama kichanga km CDM hawawezi kuyafanya hata chembe. Chama kimefilisika hv sasa, maofisi huku mikoani yanadaiwa kodi, watumishi mishahara wengine hawajalipwa. Huku Slaa akila raha kwa kununuliwa shangingi na kulipwa mafao makubwa km ya mbunge.
GeniousBrain, uongozi si kutumua fedha zako za mfukoni, au chama kutumia fdha zake za kwenye akaunti. Mtaji wa Chama chochote cha siasa ni watu na CDM mtaju huo wanao. Kilichopo ni kuwa wamobilise ili waweze kuzitumia fursa zinazowazunguka. Kuna namna nyingi za kukusanya fedha bila
kutumia akiba iliyopo.Hata hayo ya Arusha unayoyasema yangeweza kutatuliwa kisheria (mahakamani) kama sheria zilipindishwa baada ya maandamano na matamko ya kulaani

CDM mnakwenda wapi ????? ni ndoto za kusadikika 2015 kuchukua nchi

Halafu utasemaje upo makao makuu wakati hujui chama kinakwenda wapi?

Ukitafakari vizuri utagundua kuwa Chama cha DP ni kina mtaji mdogo wa watu kuliko CDM lakini Rev. Chriss Mtikila (M/Kiti) ameweza kupiga hodi mahakamani kila kukicha. Ukitaka kujua mchango wake kwenye tasnia ya Sheria nenda kapitie Tanzania Law Reports. Kizuri zaidi ni kwamba CDM kuna wanasheria waliobobea.

Unachosema sisi, ni kwamba dhana hii ya peoples power inaweza kutumika kwenye mambo mengi na si maandamano peke yake
 
wewe msanii na kama uko CDM makao makuu basi wewe umetumwa na magamba maana huu ni ushauri sasa kwanini unakatisha tamaa aliyetoa ushauri na ni kwa faida ya nani?
 
me sikubaliani na nyie kwamba 2015 nchi na ya CDM sababu magamba lazima wachakachue kama kawaida yao na sie watanzania tulivyo waoga tutaendelea kubuluzwa miaka yote
 
Usemavyo ni kweli lakini mimi naona kama ndani ya CDM kuna vibaraka wa CCM, kwahiyo mambo hayawezi kwenda kama unavyodhani.
CDM ni chama kilichotengeneza fursa nyingi sana tangu kuanzishwa kwake. Lakini fursa nyingi zaidi zilitengenezwa kipindi cha 2005-2010 na wengi walitegemea msumari wa mwisho kwenye jeneza la CCM ungepigiliwa rasmi mwaka 2010 kwenye uchaguzi uliopita. Lakin haikuwa hivyo. CDM walipata viti ving vya ubunge (ukilinganisha na mwaka 2005) lakini CCM walipata vingi zaidi. CDM walipata kura nying za Urais (ukilinganisha na vyama vingine vya upinzan), lakini CCM walipata nying zaidi (wengine wanasema walichakachua-SI HOJA YA LEO)

Lakini kwa muktadha huo huo, kura za urais na nafasi nyingi za CCM zilikuwa zimepungua hivyo kuwalazimu kujitazama UPYA, ni kwa nini kura zao zilipungua wakaja na mkakati wa kujivua gamba (wengine wanasema ni usanii-SI HOJA YA LEO). Sasa kwa chama makini kama CDM walitakiwa kujitazama UPYA ni kwa nini kura zao hazikutosha? Je nini kifanyike ili uchaguzi ujao kura zitoshe?

Lakini hali inavyoonyesha kuna hali ya kuridhika na IDADI ya wabunge waliopatikana ilihali ukijumlisha wabunge wote wa upinzani bado hawafikii hata robo tatu ya wabunge wa CCM, na ndio maana HOJA makini zinashindwa kupita. Sasa kwa kuwa CDM inajulikana kwa kuibua HOJA nzito na MAKINI na kwa kuwa CCM wapo tayari kudandia HOJA na kuifanya yao (i.e KATIBA MPYA, POSHO n.k), mkakati mkubwa zaidi ya MAANDAMANO unahitajika pamoja Kuendelea kujenga HOJA (hata kama zitaibiwa). Niseme wazi tu kuwa, maandamano ya CDM yanawaamsha Watanzania wengi juu ya haki zao na wajibu wao hivyo ni vizuri yakaendelea. Lakini si kila suala linahitaji maandamano na matamko


W
akati umefika sasa wa kutumia njia nyingine, wakati maandamano yakiendelea kama kawaida, kwani CCM watatumia njia zote hata chafu ili kuhakikisha CDM inapotea. Hivyo ninapendekeza kuwe na timu nne za kuratibu mambo manne tofauti yafuatayo

1.
Kutumia njia za Kisheria
Kwa kuwa si kila suala linahitaji maandamano, basi ni vyema timu hii ikajihusisha na maswala ya kisheria kwa wale wote wanaopindisha sheria ili kupora haki za raia na za wanasiasa wetu. Mf. Mauaji, uchaguzi batili n.k

2.
Maandamano
Hii inajulikana

3.
CDM ndani ya Jamii
Timu hii ijihusishe na kutatua kero ndogondogo katika jamii, kwa vile CDM ina ushawishi mkubwa wa watu. basi itakuwa rahis kuwaorganise wananchi ili washiriki katika shughuli hizi. Mf. Uwezeshaji wa vijana kiuchumi, Ujenzi wa vyoo, upakaji rangi majengo n.k.

4.
Mavuno
Operation zote zilizofanywa na CDM zimezalisha wafuasi wengi sana, hivyo ni muhimu kuwa na timu ya kuratibu wafuasi hawa ili waingizwe kwenye mfumo rasmi wa chama, pamoja na kuwa na chombo chao cha uongozi katika eneo lao.

Nawasilisha
 
me sikubaliani na nyie kwamba 2015 nchi na ya CDM sababu magamba lazima wachakachue kama kawaida yao na sie watanzania tulivyo waoga tutaendelea kubuluzwa miaka yote

Fursa hiyo ya kuchakachua wanaipata kwa sababu ya mapungufu ya kikatiba, tukipata katiba mpya kabla ya 2015 na CDM wakajipanga vizuri tutaongea mengine
 
wewe msanii na kama uko CDM makao makuu basi wewe umetumwa na magamba maana huu ni ushauri sasa kwanini unakatisha tamaa aliyetoa ushauri na ni kwa faida ya nani?
Asikuumize kichwa huyo ni wa chama cha magamba.....sema kwa vile wewe ni mgeni hapa jamvini ndiyo sababu umeshtuka! siku si nyingi utawajuwa wote
 
GeniousBrain, uongozi si kutumua fedha zako za mfukoni, au chama kutumia fdha zake za kwenye akaunti. Mtaji wa Chama chochote cha siasa ni watu na CDM mtaju huo wanao. Kilichopo ni kuwa wamobilise ili waweze kuzitumia fursa zinazowazunguka. Kuna namna nyingi za kukusanya fedha bila
kutumia akiba iliyopo.Hata hayo ya Arusha unayoyasema yangeweza kutatuliwa kisheria (mahakamani) kama sheria zilipindishwa baada ya maandamano na matamko ya kulaani



Halafu utasemaje upo makao makuu wakati hujui chama kinakwenda wapi?

Ukitafakari vizuri utagundua kuwa Chama cha DP ni kina mtaji mdogo wa watu kuliko CDM lakini Rev. Chriss Mtikila (M/Kiti) ameweza kupiga hodi mahakamani kila kukicha. Ukitaka kujua mchango wake kwenye tasnia ya Sheria nenda kapitie Tanzania Law Reports. Kizuri zaidi ni kwamba CDM kuna wanasheria waliobobea.

Unachosema sisi, ni kwamba dhana hii ya peoples power inaweza kutumika kwenye mambo mengi na si maandamano peke yake
Wao wanafikiri lazima uwe na RA ndiyo chama kiende!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom