Tanesco

CHIMPANZEE

Member
Mar 30, 2011
98
10
Jamani naomba mnisaidie, kilasiku tunaambiwa hali ya umeme itakaa sawa, nisaidieni itakaa sawa kivipi?

Sasa tunaambiwa maji mtera yanaisha, ivo kweli haiwezekani kutoa maji bahari ya Hindi au kwenye maziwa ya nchi hii kupeleka mtera ili umeme urudi katika hali yake?

Shida ni kwamba nchi hii imejawa na siasa, hata vitu vya maana vinawekwa kwenye propaganda.
Uchumi wa nchi hii utaimarikaje ikiwa hakuna umeme?

Viwanda vinafungwa, maofisi yanafungwa, je ni kweli Tanesiko wasilaumiwe?

Mhuheshimiwa Ngeleja na watu wake ikiwa ni pamoja na viongozi wa juu wa nchi hii wanatupeleka wapi?
 
Hilo swala la kurudisha maji ya bahari ya hindi mtera nlishaulizaga wataalam nkaambiwa umeme ni nishati (energy),
''ENERGY CAN NEITHER CREATED, NOR BEING DESTROYED,
BUT CAN BE TRANSFORMED FROM ONE FORM TO ANOTHER''.
Sasa sijui ukweli wa hii theory ukoje
 
Jamani naomba mnisaidie, kilasiku tunaambiwa hali ya umeme itakaa sawa, nisaidieni itakaa sawa kivipi?

Sasa tunaambiwa maji mtera yanaisha, ivo kweli haiwezekani kutoa maji bahari ya Hindi au kwenye maziwa ya nchi hii kupeleka mtera ili umeme urudi katika hali yake?

Shida ni kwamba nchi hii imejawa na siasa, hata vitu vya maana vinawekwa kwenye propaganda.
Uchumi wa nchi hii utaimarikaje ikiwa hakuna umeme?

Viwanda vinafungwa, maofisi yanafungwa, je ni kweli Tanesiko wasilaumiwe?

Mhuheshimiwa Ngeleja na watu wake ikiwa ni pamoja na viongozi wa juu wa nchi hii wanatupeleka wapi?

Utapata pressure bure hawa ni sikio la kufa mi nakushauri ununue jenereta ukubali kuumia kwa fuel hakuna shortcut sisi tumeshazoea.
 
Hilo swala la kurudisha maji ya bahari ya hindi mtera nlishaulizaga wataalam nkaambiwa umeme ni nishati (energy),
''ENERGY CAN NEITHER CREATED, NOR BEING DESTROYED,
BUT CAN BE TRANSFORMED FROM ONE FORM TO ANOTHER''.
Sasa sijui ukweli wa hii theory ukoje
May be you mean " Matter/Energy is neither created nor destroyed but can be transformed from one form to anther".
 
May be you mean " Matter/Energy is neither created nor destroyed but can be transformed from one form to anther".
Unafafanua, unarekhebisha, unasahihisha, ama?Ulichofanya ni kurudia post yangu kwa kifupi
 
Jamani naomba mnisaidie, kilasiku tunaambiwa hali ya umeme itakaa sawa, nisaidieni itakaa sawa kivipi?

Sasa tunaambiwa maji mtera yanaisha, ivo kweli haiwezekani kutoa maji bahari ya Hindi au kwenye maziwa ya nchi hii kupeleka mtera ili umeme urudi katika hali yake?

Shida ni kwamba nchi hii imejawa na siasa, hata vitu vya maana vinawekwa kwenye propaganda.
Uchumi wa nchi hii utaimarikaje ikiwa hakuna umeme?

Viwanda vinafungwa, maofisi yanafungwa, je ni kweli Tanesiko wasilaumiwe?

Mhuheshimiwa Ngeleja na watu wake ikiwa ni pamoja na viongozi wa juu wa nchi hii wanatupeleka wapi?

Si wajaze hilo bwawa kwa kutumia technologia ya Thailand? Mh. Lowasa anaifahamu labda hawajamweleza hili tatizo.
 
Mgawo wa umeme hauwezi kuisha hadi maamuzi magumu yatakapofanyika yaani kusitisha na kuchunguza mikataba yote inayohusiana na nishati walioingia viongozi wetu.
 
mgawo wa umeme hauwezi kuisha hadi maamuzi magumu yatakapofanyika yaani kusitisha na kuchunguza mikataba yote inayohusiana na nishati walioingia viongozi wetu.
kuchunguza na kusitisha yes....isipofanyika hivyo atakuja waziri mwingine ataye kuwa na uwezo wa kutaja maeneo ambayo umeme unaweza patikana na kisha atataja neno megawatts na giza litaendelea
 
Back
Top Bottom