CCM tatizo ni Sitta na genge lake

Mjenda Chilo

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
1,467
513
Wandugu, ni mawazo tu, mi nafikiri tatizo litakaloiua CCM si ufisadi bali ni makamanda feki wa kupinga ufisadi, kisa uwaziri mkuu machungu yakazidishwa na uspika. vita vya panzi na furaha ya kunguru. matokeo yake ndo haya tunayoyaona hakuna vita halisi juu ya ufisadi. Ningekuwa presida ningeanza nae potelea pote.
 
wandugu, ni mawazo tu, mi nafikiri tatizo litakaloiua ccm si ufisadi bali ni makamanda feki wa kupinga ufisadi, kisa uwaziri mkuu machungu yakazidishwa na uspika. Vita vya panzi na furaha ya kunguru. Matokeo yake ndo haya tunayoyaona hakuna vita halisi juu ya ufisadi. Ningekuwa presida ningeanza nae potelea pote.

ndio hivyo presida wa jmt ni jakaya m. Kikwete sio ww
 
Mfumo mbovu ,uzembe,wizi na ufisadi,kukosa uongozi bora,unafiki na ufitini unameshakimaliza chama hakuna namna watajiokoa tena
 
Wandugu, ni mawazo tu, mi nafikiri tatizo litakaloiua CCM si ufisadi bali ni makamanda feki wa kupinga ufisadi, kisa uwaziri mkuu machungu yakazidishwa na uspika. vita vya panzi na furaha ya kunguru. matokeo yake ndo haya tunayoyaona hakuna vita halisi juu ya ufisadi. Ningekuwa presida ningeanza nae potelea pote.


Mwenyekiti wa chama chenu hawawezi kugusa maana sasa Sitta ana nguvu kuliko wakati wowote poleni sana.
 
We umepewa hela na mafisadi nini. KAma umeshiba maharage nenda kalale sio unatuletea upuuzi hapa. Sitta ni mtuu pekee aliyewapinga mafisadi bila kuogopa sasa wewe unataka awakenulie meno huku moyoni analia kama mlivyo watz wengi!!!!
 
Wandugu, ni mawazo tu, mi nafikiri tatizo litakaloiua CCM si ufisadi bali ni makamanda feki wa kupinga ufisadi, kisa uwaziri mkuu machungu yakazidishwa na uspika. vita vya panzi na furaha ya kunguru. matokeo yake ndo haya tunayoyaona hakuna vita halisi juu ya ufisadi. Ningekuwa presida ningeanza nae potelea pote.

Mkuu umenena vema. Sitta ndio chanzo cha vurugu kwenye Chama cha Mapinduzi. Pamoja na kupewa uwaziri lakini bado anaipinga serikali amesahau collective responsibility. Kama ni kamanda kweli wa ufisadi na anajua serikali ni ya kifisadi asingekubali kuwa waziri angebaki tu back bencher ili aisimamie na kuikosoa vizuri serikali akiwa nje ya serikali lakini amekumbatia uwaziri na huku anaikosoa serikali. Kama si undumila kuwili ni nini. Mkuu ningekuwa mimi Rais ningemfukuza kupitia radioni na kama noma na iwe noma!! Huwezi kukaa na watu kama sitta serikalini wangebaki nje tu hawa. Eti kamanda wa kupigana vita dhidi ya ufisadi kumbe ni kamanda wa kupigania maslahi binafsi!
 
We umepewa hela na mafisadi nini. KAma umeshiba maharage nenda kalale sio unatuletea upuuzi hapa. Sitta ni mtuu pekee aliyewapinga mafisadi bila kuogopa sasa wewe unataka awakenulie meno huku moyoni analia kama mlivyo watz wengi!!!!

Mkuu mbona tunasahau kirahisi? Hivi kujenga ofisi ya spika jimboni kwa mbunge si ufisadi? Hivi kupigia upatu maposho lukuki ya wabunge si ufisadi huo?
 
We umepewa hela na mafisadi nini. KAma umeshiba maharage nenda kalale sio unatuletea upuuzi hapa. Sitta ni mtuu pekee aliyewapinga mafisadi bila kuogopa sasa wewe unataka awakenulie meno huku moyoni analia kama mlivyo watz wengi!!!!
Pole sana ndugu kama bado umenasa kwenye mtego wa Sitta, huyu Sitta ni sawa na popo si ndege na wala si mnyama, Sitta ni fisadi kama walivyo mafisadi wengine ndani ya ccm, chunguza kwa makini malengo ya kisiasa ya Sitta na fuatilia kwa makini maisha anayoishi ndio utaujuwa upande wa pili wa huyu mnafki.

Kama hujui ngoja niongee na wewe kwa lugha rahisi, Samuel Sitta na Zitto Kabwe sio wanasiasa wa kuwaamini katika nchi hii. wapo wengi lakini hao ndio good sample. hawa ni wanasiasa wanafki kuliko maelezo ambao walifanikiwa kuziteka akili za Watanzania kwamba wako upande wa Umma kumbe tumeliwa, usiwaamini kabisa watu hawa ni hatari kwa Taifa.
 
We umepewa hela na mafisadi nini. KAma umeshiba maharage nenda kalale sio unatuletea upuuzi hapa. Sitta ni mtuu pekee aliyewapinga mafisadi bila kuogopa sasa wewe unataka awakenulie meno huku moyoni analia kama mlivyo watz wengi!!!!
Kamanda Sitta akisikiliza kwa makini hotuba bungeni.
ccm cham cha mazuzu***** na watu wenye akili za kawaida na mbaya kabisa, Sitta kilema wa ufahamu, na hao wengine ni watu wasio aminika kabisa, hiko ni chama kinachoangamia ....! kazi yao malumbano,. kelele na rushwa kama si Ufisadi
283509_141022539312971_100002156774748_272727_7021239_n.jpg

 
Mheshimiwa Rais wa Jumahuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama tawala CCM TUNAKUOMBA umtimue huyu BABU SITA kwenye baraza la mawaziri na hata kama ikiwezekana anyanganywe kadi ya CCM
 
Umenena vyema Matola,ni wengi walinasa kwenye mtego wa Sitta kumbe anachokiongea siyo anachokifanya kwa kifupi yeye ndio mnafiki nambari wani,huwezi kuishi kwenye nyumba ya spika wakati wewe siyo spika afu bado ukaona ni sahihi..

Hawa viongozi ndio wakwanza kuvunja kanuni na miongozo mbalimbali wakijua kwamba kwa mifumo waliyoiasisi wao haiwezi kuwashughulikia,tunapoongelea Katiba mpya tushuke na chini kujadili upya kanuni zinanazosimamia maadili ya utumishi wa umma kwa hawa viongozi waandamizi huku mkazo ukiwekwa kwa adhabu kali kwa wote watakaokiuka...
 
Kinachotakiwa ni kuvunja baraza lote kisha kuchagua ambao hawajawahi kushika madaraka, mbona CCM ina wabunge wengi?
Wandugu, ni mawazo tu, mi nafikiri tatizo litakaloiua CCM si ufisadi bali ni makamanda feki wa kupinga ufisadi, kisa uwaziri mkuu machungu yakazidishwa na uspika. vita vya panzi na furaha ya kunguru. matokeo yake ndo haya tunayoyaona hakuna vita halisi juu ya ufisadi. Ningekuwa presida ningeanza nae potelea pote.
 
kama unataka kujua sita ni fisadi kiasi gani,kaulize jimboni kwake alivyokuwa akigawa hela kipindi cha kampeni! wasalaam
 
Mheshimiwa Rais wa Jumahuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama tawala CCM TUNAKUOMBA umtimue huyu BABU SITA kwenye baraza la mawaziri na hata kama ikiwezekana anyanganywe kadi ya CCM

Mkuu Sitta ilikuwa anyang'anywe kadi kule Dodoma lakini akalia kinafiki na kuomba msamaha!! Kweli Rais asipomfuta kazi atakuwa hatendi haki. SItta ni wa kufutwa kazi tu
 
We umepewa hela na mafisadi nini. KAma umeshiba maharage nenda kalale sio unatuletea upuuzi hapa. Sitta ni mtuu pekee aliyewapinga mafisadi bila kuogopa sasa wewe unataka awakenulie meno huku moyoni analia kama mlivyo watz wengi!!!!

Kwani Sitta wako Mwadilifu!?Hana anachopigania zaidi ya Kuwadanganya wasiojua Kupima Mambo,Sita ana Sura 2
1)Kutaka aonekane mpigania wanyonge na Mali za Umma
2)Mpenda Raha kwa Kutumia fedha za Umma!

Muulize sitta yeye ni Spika?Alipoona Uspika umeisha kwanini ang'ang'anie nyumba inayolipiwa Shs 12Million kwa mwezi kwa ajili ya spika wakati yeye sio spika?
Sita hakuna kitu ndio wale wale! lA CCJ sisemi
 
Kamanda Sitta akisikiliza kwa makini hotuba bungeni.
ccm cham cha mazuzu***** na watu wenye akili za kawaida na mbaya kabisa, Sitta kilema wa ufahamu, na hao wengine ni watu wasio aminika kabisa, hiko ni chama kinachoangamia ....! kazi yao malumbano,. kelele na rushwa kama si Ufisadi
283509_141022539312971_100002156774748_272727_7021239_n.jpg



Hapa bila ya shaka yoyote alikuwa anaota anapigiwa mizinga 21. Hizi mbio za urais wa 2015 ndiyo kaburi la CCM. RIP CCM
 
Hapa ndio sehemu ya kuonesha mawazo tofauti lakini yenye kutuelekeza kwenye fact.Mimi nitatofautiana kidogo na mtoa hoja kwa kusema sitta cyo chazo cha tatizo siyo sita ila ni kuwa Mwisho wa CCM ndio unafika au ndio unaenda kufika tukikumbuka kufall kwa state za Afrika za kina mali soghai na nyingine.mwanzo wake zili kuwa maarufu kama ccm lakini mwisho wa siku zikaanguka tukubali tusikubali kufall kwa ccm kumefika,nani alifikili kuwa nchi za kiarabu zitafanya mabadiliko kama yanayo endelea,hivyo Sitta,mwakyembe,lowasa na wengine wengi watasaidia mwisho wa ccm ufike na Msemo wa kuwa Tanzania bila CCM inawezekana.kukataliwa kwa bajeti ya umeme hiyo ni dalili tosha coz tumezoea ninaunga Bajeti aslimia zaidi ya miamoja, coz waliogopa kuwa wangepigwa mawe na wale walio wachagua ccm.
 
Mwenyekiti wa chama chenu hawawezi kugusa maana sasa Sitta ana nguvu kuliko wakati wowote poleni sana.

Hapo ulipo jibu ni tosha kabisa ingawa nami ni CCM, nadhani kuna dhana moja ambayo CCM inajisahau siku zote wao wana dhani bado tuko na zidumu fikra za mwenyekiti no none tuko karne nyingine sasa Democrasia imekuwa, Pili dhani nyingine ni ile CCM wao ni kulinda Chama inamaana chama hakijitegemei inamaana chama hakina mfumo wa kujiendesha kama chama pekee inapo fika mahali chama kinatakiwa kijijue ni chama cha wananchi wanao kisupport na kama kina ongoza nchi kitambue kimebeba mzigo mkubwa wa wananchi bila kuangalia itikadi zao,

sasa tukirudi hapo kwa ndugu yangu anaposema Sitta ndi chanzo sijakuelewa kabisa inapo bidi kuipinga serikali yako pinga hata kama umo ndani ya chama au serikali yako hapo wewe unge mwambia tu sitta labda kwani usijitoe katika nyazifa na ukabaki kuwa mwanachama na ukapinga zaidi ili kuwaeleza watu nini dhamila yako kama mwalimu alivyo jitoa bungeni kwenye serikali ya mkoloni kabla ya uhuru na akaenda kwa wananchi kuwaeleza serikali haikubaliani na mawazo yangu ambayo yatwasaidia wananchi bali serikali inataka minifanya visivyo.

CCM inakufa yenyewe na viongozi wake walipo madarakani kwa kutokuwa na Uaminifu kwa wananchi, Uadilifu wa kuwa kiongozi na dhamila ya kweli kwa nchi na kukosekana kwa uzalendo ndani ya viongozi wetu na ndilo hilo jinamizi linawatafuna viongozi wa CCM kila kukicha ni kurumbana na mbaya zaidi Kulikana Azimio la Arusha ambalo lilitaka marekebisho madogo tuu na wange songa mbele zaidi.matokeo yake ndio haya Ufisadi umekithili viongozi hao hao ndio wamiliki njia kuu zote za uchumi wanaiongoza serikali kama miradi yao binafsi.

Usi mlaumu sitta laumu mfumo mzima wa uongozi wa CCM yetu ilipotufikisha
 
Back
Top Bottom