Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Wandugu, ni mawazo tu, mi nafikiri tatizo litakaloiua CCM si ufisadi bali ni makamanda feki wa kupinga ufisadi, kisa uwaziri mkuu machungu yakazidishwa na uspika. vita vya panzi na furaha ya kunguru. matokeo yake ndo haya tunayoyaona hakuna vita halisi juu ya ufisadi. Ningekuwa presida ningeanza nae potelea pote.