ni maisha ya kuishi porini flani hivi maana gombe ni kisiwa kilicho katika ziwa Tanganyika, kimaslahi sijui yakoje.
ni maisha ya kuishi porini flani hivi maana gombe ni kisiwa kilicho katika ziwa Tanganyika, kimaslahi sijui yakoje.
Ndugu yangu unapaswa ujifunze jiografia ya Tanzania. Gombe National Park siyo kisiwa, na wala haiko ndani ya ziwa Tanganyika, isipokuwa hifadhi inapakana na ziwa Tanganyika, au iko ukingoni mwa ziwa Tanzanyika kwa upande wa Magharibi. Angalia ramani ya hifadhi za taifa hapa http://www.tanzaniaparks.com/tanzania_map.htmlhttp://www.tanzaniaparks.com/tanzania_map.html
Naomba msaada,,, ivi maisha gombe national park kikazi yakoje
.nilishaenda gombe 2 timesnajua uaogopeshwa kuwa kgma kuna uchawi.mim nilikaa 12 yrs bila tatizo.gombe ni park nzuri.usafiri ni boti mnatumia masaa 2 na nusu frm kgm. Ni green place na utapenda kukaa kule.thanks guys for the advise for the advise
Kafanye kazi wewe TANAPA wana kisu kikali, hakuna hata park moja iliyo Mjini hivyo tegemea kuwa maporini na kuwa karibu na Masokwe kila siku.