Recent content by chichi

  1. C

    GE2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

    Umenena vyema mwanzoni kasoro hapo kwenye kuligawa taifa! labda mgawanyike ninyi mnaokaa meza kuu. Sisi huku tunaombana chumvi, tunaombana mbegu (vuli hii!) tunaazimana majembe, tunazikana. Kifupi tunaharakati nyingi za kutuweka pamoja kuliko za kututenganisha. Kama hujawahi kuwa na shibe huwezi...
  2. C

    Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

    Nilisamehe kwa moyo wote, na tofauti na mwanzo nikajipa muda mwingi wa kukaa nae na kumshauri jinsi ulimwengu ulivyo na namna ya kuvishinda vishawishi, it seemed to have worked! A lot passed, uphills and down the valleys then we were blessed with a child mwaka jana na tukaanza maandalizi ya...
  3. C

    Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

    when sugar saturates in solutions don expect utamu kuongezeka. Jamaa hawaja fulia wamefikia kikomo cha kuwaza na kubuni. Niwakatik muafaka sasa kushirikisha wadau wengine wa vichekesho kwenye vipindi vyao ili kuleta ladha mbadala.
  4. C

    Is our president serious?

    Natanguliza samahani, mimi sikufanikiwa kukiona kipindi hicho, napata shida ku follow, na nikifata link za video zinakataa, jee naweza kupewa hali halisi ni swali gani aliulizwa na approach yake ilikuwaje. Samahani tena.
  5. C

    Maisha Plus Tv Show ya Masoud Kipanya

    Sampling ya washiriki hapa inaweza ikawa ni tatizo. Imeonekana washiriki wengi wanauelewa wa kawaida kabisa juu ya mambo ya msingi.
  6. C

    The Worlds Dirtiest Cities!

    Statistics ni muhimu lakini inategemea umezichukua angle gani, hapo inabidi ifahamike kama tunazungumzia Air pollution or wat, maana sitaki kuamini Dar index yake ipo juu ya Brasil.
  7. C

    Goodbye President George W. Bush!

    all the criminals will be paid here here!!!!!!!!!
  8. C

    China now 3rd Biggest World Economy

    The notion "we are poor" have been eating us slowly like a cancer, unless we learn it hard way, economic liberation is no where to be found!!!!! Mi naona tanzania tuache kudhani tunaweza jenga bila kutoa jasho tuache ujanja ujanja. Tuangalie hawa tunaowabudu kama miungu namna walivyo toka, wengi...
  9. C

    Wale wa Kibaha Sec School tujikumbushe

    Dah Konga alikuwa mkali kama pilipili haswa siku za usafi. Jamaa alikuwa haoni hatari kukupiga viboko kama mwizi.
  10. C

    Wale wa Kibaha Sec School tujikumbushe

    ha ha ha ha ha ha wakuu mmerutubisha kumbukumbu zangu sana, ni kweli pamebadilika sana, mara ya mwisho natoka pale vijana walihamishia upepo shule fulani hivi ya wasichana ipo maeneo ya kibamba dar, nakumbuka people walikuwa radhi watembee hata kwa miguu toka kibaha kuwaona tu wale watoto.
  11. C

    Je Voda ni wezi?

    Not Zantel man labda tigo ndo wameanza kuwa wezi nw dayz, ukijiunga na huduma yao ya extreme wanakata kabla ya muda kuisha.
  12. C

    Swali la wakina dada

    Mme nena vyema......
  13. C

    Ridhwani afunga ndoa!

    Kwani mchaga sio mtu?
  14. C

    Wanawake huwa wanapenda/kuhitaji nini?

    Dah! Man hii topiki iko hot sana yan unaweza uka ukwea U PhD mwisho wa kuijadili. Nataraji kurudi kuchangia hapa mfungo ukiisha. MY BLOOD SUGAR IS VERY LOW.
  15. C

    Ridhwani afunga ndoa!

    blah!! blah!!!
Back
Top Bottom