Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Wana JF,
Leo nilikuwa naangalia TBC1 TV nikakutana na inayosemekana kuwa ni reality TV show inayoongozwa na aliyekuwa mtangazaji wa power breakfast show ya Clouds FM Masooud Kipanya.
Show hii inafahamika kama Maisha Plus na ina vijana kama 15 wake kwa waume walioko camp huko kijijini sasa nauliza je hii show madhumini yake nini?
Natumai kuuliza sio ujinga!
Leo nilikuwa naangalia TBC1 TV nikakutana na inayosemekana kuwa ni reality TV show inayoongozwa na aliyekuwa mtangazaji wa power breakfast show ya Clouds FM Masooud Kipanya.
Show hii inafahamika kama Maisha Plus na ina vijana kama 15 wake kwa waume walioko camp huko kijijini sasa nauliza je hii show madhumini yake nini?
Natumai kuuliza sio ujinga!