Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Habari za CNN zinasema China
1. Wamewapiku Germany na sasa wapo nyuma ya Japan na USA in terms of economic volume/gross domestic product.
2. Uchumi wao umekua 10-fold tangu 1979 (i.e. within 30 yrs period).
3. Wamefuta umaskini kwa watu 200 million, more than 90% of the total population lifted out of poverty in the world.
4. Kama uchumi wao ukikukua tena 2 times-wakati wa USA ukiwa stagnant-watawapiku na USA.
5. Mwaka 1979 uchumi wao wote ulikuwa unatawaliwa na serikali (state owned) lakini wamebadilika na kufanikiwa kuwa wajasiriamali (private economy).
Question:
1.Tanzania tumekwama wapi, maana umaskini umeongezeka badala ya kupungua na mambo kwa ujumla ni opposite kabisa na China.
1. Wamewapiku Germany na sasa wapo nyuma ya Japan na USA in terms of economic volume/gross domestic product.
2. Uchumi wao umekua 10-fold tangu 1979 (i.e. within 30 yrs period).
3. Wamefuta umaskini kwa watu 200 million, more than 90% of the total population lifted out of poverty in the world.
4. Kama uchumi wao ukikukua tena 2 times-wakati wa USA ukiwa stagnant-watawapiku na USA.
5. Mwaka 1979 uchumi wao wote ulikuwa unatawaliwa na serikali (state owned) lakini wamebadilika na kufanikiwa kuwa wajasiriamali (private economy).
Question:
1.Tanzania tumekwama wapi, maana umaskini umeongezeka badala ya kupungua na mambo kwa ujumla ni opposite kabisa na China.