Is our president serious?

Semilong, we una masihara sana .... JK amemuahidi tanzanite dada Aisha? hahaaa! Huu ni ufisadi wa ngono!
Lakini seriously, mi nadhani ni aibu kubwa zaidi kwa JK kwa sababu alikuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10! Tukimlinganisha na Mkapa ambaye pia alikuwa anashikilia wizara hiyo kwa muda mrefu, tunaweza kuona difference, ya kuwa at least Mkapa learnt to talk the talk even though he couldn't walk the walk.
Mkisema eti lugha inamtatiza aongee Kiswahili, nauliza hivi - alipokuwa waziri wa nje alikuwa anaongea lugha gani na kwa miaka 10 alishindwa kujipolish?
Kanikera sana kwa sababu amedai kuwa eti alimwomba rais wa IMF alete mkutano huu hapa for Africa, alafu hajajitayarisha kabisaaa, Vasco Da Gama alijua anauza sura!
Alafu Mzee Mwnkjj, rais alizungumzia brochure - lakini kama vile alilitamka broNchure? Au broadband inazingua?
 
Hata kama anawashauri, ma rais wetu wanashaurika? si wao ndo ma much know? ar U kidding? The president of Tanzania? weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Natanguliza samahani, mimi sikufanikiwa kukiona kipindi hicho, napata shida ku follow, na nikifata link za video zinakataa, jee naweza kupewa hali halisi ni swali gani aliulizwa na approach yake ilikuwaje. Samahani tena.
 
There is an adage which says that 'A leader is the mirror image of the people he is leading' Coming to the topic ! The problem is tabia ya Watanzania kwenda kichwa kichwa bila kujiandaa His Exellence JK angewaachia wataalam simply angetoa key note opening remarks na sio kutoa mhadhara ukiwa na overconfidence watu wa media huwa wanakufix if they know your weakness. Ni aibu kwa taifa wala tusicheke tutafakari and mend the wounds period!
 
Kwa hiyo kwa kifupi mnataka kusema Presidaa alikuwa anauza sura tu:D!
 
Halafu naangalia vizuri naona Bob Geldof amemblast Kikwete live kwamba huwezi kwenda bandarini na ukawa unajua uzembe na kusema nawajua wezi bila kuwataja.
 
aisee........yaani basi tena..........hii nchi inaendeshwa kwa kudra za Mwenyezi Mungu........duuhh
 
Hivi washauri wa JK ni akina nani?......grriiiii.......yaani inaleta hasira sana
 
sio nia yangu kumtetea Rais asipotuwakilisha vizuri katika mikutano ya kimataifa lakini nina imani kwamba Rais kama ilivyo kwa mimi na wewe ni binadamu na hawezi kujua kila jambo kwa kina. vilevile, nimefuatilia sana jinsi Rais anavyotuwakilisha katika mikutano mbalimbali na ameonekana kufanya vizuri nachelea kusema inawezekana eneo hili halieliwi vyema kama ilivyo kwa yeyote yule. Mambo ya mdororo wa uchumi mapya na ni ya kitaalamu na bahati mbaya yamezigusa zaidi nchi za Ulaya na hivyo kueleweka zaidi katika jamii hiyo. Hivyo naamini washiriki waliotoka katika mazingira hayo walikuwa na nafasi kubwa ya kuzunguzia kwa undani jambo hili lakini pia tukumbuke kuwa wengi wa washiriki waliozungumza na kutoa mada ni wataalamu wa mambo ya fedha na uchumi. I STAND TO BE CORRECTED.
 
Hii inasikitisha sana, wow! And this is a president of a country? Oh, no wonder nchi yenyewe haiendelei. si ndiyo huyu huyu rais anayeshabikia (kwa siri) kununuliwa kwa mitambo ya Dowans mpaka Ikulu yake inatoa tamko rasmi kwamba it's okay kuvunja sheria ya manunuzi ili tu mitambo ya Dowans inunuliwe!

Well, now let me get back to his POOR than POOR performance katika huo mdahalo. Kwanza kabisa inaonekana haelewi alikuwa anaulizwa nini, maana baada ya huyo Isha kumaliza kuuliza swali, jamaa inaonekana alikuwa hafuatilii kinachozungumzwa and also alikuwa kama anataka kuanza kusoma risala vile, damn....this is embarasing indeed. Pia ukiachilia delivery yake ya kichozu, yale yote aliyoyasema inaonekana hayakuwa na substance yoyote mpaka inafikia kuulizwa swali lilelile kwa mara ya pili, inakuwa kama mwanafunzi ameulizwa how to treat malaria lakini anatoa jibu la kutibu maumivu ya tumbo .....absolute crappy performance.

Cha kusikitisha zaidi, ni kwamba huyu moderator (Isha) ameona JK anaongea utumbo kiasi kwamba akaamua kumkatiza kauli na kumuuliza swali Trevor Manuel, and by listening to Trevor you can see the great contrast and in the general sense you can get an answer as to why sisi waTanzania tunaendelea kuwa maskini. Grrrrrrr!!!!
 
Huyu mkku inaonekana hana idea ya kinachoendelea duniani au, hayupo in touch with reality......

Tangu lini mpiga ngoma za mdundiko wa kumtoa mwali akaa anajuanini kinaendela duniani?

Naamini Kikwete hakuielewa hii post before!!!! kimoyomoyo anajuta, MKAPA maeneo kama haya ndiyo unaona msela wangu analipa kuwa president!
 
sio nia yangu kumtetea Rais asipotuwakilisha vizuri katika mikutano ya kimataifa lakini nina imani kwamba Rais kama ilivyo kwa mimi na wewe ni binadamu na hawezi kujua kila jambo kwa kina. vilevile, nimefuatilia sana jinsi Rais anavyotuwakilisha katika mikutano mbalimbali na ameonekana kufanya vizuri nachelea kusema inawezekana eneo hili halieliwi vyema kama ilivyo kwa yeyote yule. Mambo ya mdororo wa uchumi mapya na ni ya kitaalamu na bahati mbaya yamezigusa zaidi nchi za Ulaya na hivyo kueleweka zaidi katika jamii hiyo. Hivyo naamini washiriki waliotoka katika mazingira hayo walikuwa na nafasi kubwa ya kuzunguzia kwa undani jambo hili lakini pia tukumbuke kuwa wengi wa washiriki waliozungumza na kutoa mada ni wataalamu wa mambo ya fedha na uchumi. I STAND TO BE CORRECTED.

In a way unakubali kuwa JK alikuwa very weak on the agenda................naomba utuwekee ni mkutano upi "WA AINA HII" ambao alituwakilisha vizuri......
 
sio nia yangu kumtetea Rais asipotuwakilisha vizuri katika mikutano ya kimataifa lakini nina imani kwamba Rais kama ilivyo kwa mimi na wewe ni binadamu na hawezi kujua kila jambo kwa kina. vilevile, nimefuatilia sana jinsi Rais anavyotuwakilisha katika mikutano mbalimbali na ameonekana kufanya vizuri nachelea kusema inawezekana eneo hili halieliwi vyema kama ilivyo kwa yeyote yule. Mambo ya mdororo wa uchumi mapya na ni ya kitaalamu na bahati mbaya yamezigusa zaidi nchi za Ulaya na hivyo kueleweka zaidi katika jamii hiyo. Hivyo naamini washiriki waliotoka katika mazingira hayo walikuwa na nafasi kubwa ya kuzunguzia kwa undani jambo hili lakini pia tukumbuke kuwa wengi wa washiriki waliozungumza na kutoa mada ni wataalamu wa mambo ya fedha na uchumi. I STAND TO BE CORRECTED.

afadhali umesema uwe corrected! nasema Kikwete ni mpiga ngoma za mdundiko , kwa taarifa yako, naweza nikakutajia ordinary people katika jamii yetu, ambao wangeweza kujibu swali vizuri, swali kujibu ni rahisi kama ni hicho kitu concern yako ya kila siku.

Kama umeendelea kuangalia mjadala huu, kuna Bob Geldof ( angalia dakika ya 15:48-16:00 Uone wanaume) anamponda Kikwete Live kuwa anaenda bandarini ANASEMA ANAJUA MAJINA YA WEZI HAWATAJI! HUKU WANAKULA FEDHA ZA UMMA! Kikwete ni 0 , zero I mean sifuri, au kwa msisitizo yai
 
Wabongo msipende lawama, JK Nyerere alisema yule mtu bado hajaiva kisiasa nyie mkapiga kura kwa ajili ya Uhandsome na unadhifu. Iweje leo ameshindwa kujibu swali mcheke au mulaumu wakati yeye ni handsome.

Watanzania nawalaumu sana, angekuwa ni yule mliyemuita mwarabu ametembea nchi nyingi anajua mambo mengi wala isingekuwa tatizo. Angekuwa mzee Ben hapo angeshuka minara yote.

Hivi Mr President wetu ana watu waliosoma kweli wanaoweza kumwandaa kwenye midaharo mikubwa kama hiyo? Inaumsa sana.
 
sio nia yangu kumtetea Rais asipotuwakilisha vizuri katika mikutano ya kimataifa lakini nina imani kwamba Rais kama ilivyo kwa mimi na wewe ni binadamu na hawezi kujua kila jambo kwa kina. vilevile, nimefuatilia sana jinsi Rais anavyotuwakilisha katika mikutano mbalimbali na ameonekana kufanya vizuri nachelea kusema inawezekana eneo hili halieliwi vyema kama ilivyo kwa yeyote yule. Mambo ya mdororo wa uchumi mapya na ni ya kitaalamu na bahati mbaya yamezigusa zaidi nchi za Ulaya na hivyo kueleweka zaidi katika jamii hiyo. Hivyo naamini washiriki waliotoka katika mazingira hayo walikuwa na nafasi kubwa ya kuzunguzia kwa undani jambo hili lakini pia tukumbuke kuwa wengi wa washiriki waliozungumza na kutoa mada ni wataalamu wa mambo ya fedha na uchumi. I STAND TO BE CORRECTED.

Lakini huyu si tunaambiwa ana digirii ya uchumi? Tulitegemea afanye vizuri zaidi ya hapo. Si kweli kwamba dhana ya mdororo wa kiuchumi/kifedha ni ngeni. Mdororo mbaya kabisa kutokea ulikuwa 1931. Suala la mdororo wa kiuchumi linatishia usalama wa mataifa (hasa masikini kama Tanzania) hivyo nilitarajia Rais awe anafahamu vizuri suala hili. Ningemshauri awatumie wataalamu pale mlimani au kwengineko kujifunza mambo mbalimbali ya kiuchumi yanalolikabili/yanayoweza kulikabili taifa letu na Africa kwa ujumla. Wahenga walisema 'kuuliza si ujinga'.

Rais ni kioo chetu. Akiwa 'bogus' na wananchi pia tunaonekana 'bogus' (si ndio tuliomchagua!)
 
Back
Top Bottom