FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
The comedy wanahitaji kubadilika. Hivi unajua wameweka show yao moja hapa dar ukiwahitaji uwape millioni SABA za Kitanzania?
Halafu wanakuja kucheza tu nyimbo, Vichekesho vya kuongea labda anaweza Masanja na JOTI. The rest hamna kitu.
Ushauri mzuri ni kuwa waruhusu watu kupeleka vichekesho wakikitoa wanamlipa lets say laki mbili au moja kutokana na maelewano. Hii itawafanya wawe juu tu, general sio wabaya ila shule inawakosesha uwezo wa ku analyze issue zao. Wanahitaji kiongozi ambaye shule anayo.
Huwezi KULA bila KULIWA - JK
Halafu wanakuja kucheza tu nyimbo, Vichekesho vya kuongea labda anaweza Masanja na JOTI. The rest hamna kitu.
Ushauri mzuri ni kuwa waruhusu watu kupeleka vichekesho wakikitoa wanamlipa lets say laki mbili au moja kutokana na maelewano. Hii itawafanya wawe juu tu, general sio wabaya ila shule inawakosesha uwezo wa ku analyze issue zao. Wanahitaji kiongozi ambaye shule anayo.
Huwezi KULA bila KULIWA - JK