I know this guy. He is a very good guy. Mwaka jana tu kampuni ya Shanta Gold walimchukua kutoka Barrick na kumuahidi pesa nzuri tu. For a short period ambayo alikuwa hapo nimeona jinsi alivyokuwa ana-tetea maslahi ya Geologists watanzania na nadhani hawa mabosi wa shanta hawakuipenda hiyo ndo...
Hivi nikihitaji five doors ya early 2000s with not more than 100000kms na ambayo haijatumika hapa Tz but imetumika lets say Japan bei yake ni sh ngapi?
Hapa kazini kuna mzee mmoja wa kiislamu kaniambia eti leo waislamu wanaandamana ili kipengele cha dini kiwekwe kwenye questionnaire za sensa mwenye uhakika juu ya hilo atujulishe.
Habari wana jf,
naomba kuuliza hivi inawezekana kwa mtanzania kumiliki hisa katika masoko ya hisa nje ya mipaka yake? tuanzie hapo halafu nitauliza zaidi
Nimejaribu voda ime-comfirm kuwa nimesajiliwa lakini tigo inakataa, inarespond kwa sms kuwa niandike jina langu na namba ya fomu nitume kwenye 106. Jina halina neno tatizo ni hapo kwenye form maana nilisha-misplace.
Inaonyesha tulifanya kazi ya bure kwenda kupanga foleni na kujisajili kwenye...
Ni kweli kabisa mkuu,
Namfahamu mmoja aliyekuwa Hg somewhere na mtoto wa mwajiri akampenda, wakaoana na sasa wana watoto watatu mmoja anaitwa Rachel. It's one of the happy and lovely families here in dar, actually i admire them.:A S 103::dance:
Habari za leo.
Naomba mwenye uelewa juu ya gharama za uagizaji wa gari kutoka Japan. Information nilizopatiwa kuhusu gari yenyewe ni kama ifuatavyo:
Mode: Nissan Wingroad
Year: 2000
Kms: 92,000
Engine: 1.5
Trans: Automatic
FOB: US$1,500/-
Tafadhali naomba mwenye kufahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.