Cheking your SIM Card Registration Status

Kuna mtu hajasajiliwa alipopiga *106# akapata amajibu kwamba hajasajiliwa na ili asajiliwe inabidi aandike jina lake kamili! Je huu si Udhaifu katika mifumo yetu maana mtu anaweza kutuma jina lisilo lake. Nawashauri watoa huduma za Mawasiliano wawe Makini na jambo hili
 
Dear WanaJF,

This service will be available to all operators in few days/weeks to come
kwa sasa only Zain have introduced such service.

The service will be formalized to use simple and standard Algorithm (i.e.
like the one of Zain)

And will be available to (TTCL Mobile subscribers,Vodacom,Zain,Tigo and BoL)

Nafikiri efforts binafsi za Kampuni moja moja pia zinaendelea.

Good of you Mganyizi...Maelezo yako ni fasaha!
 
Voda jana ilikuwa inagoma leo imekubali wameniambia umesjiliwa kikamilifu dear
 
...kwenye tangazo hili kwenye media wanasema dial hii namba ili u-cross check details zako kama ni sahihi yaani utapata majina yako as you are in register lakini jibu linlokuja linasema tu kwamba umesajiliwa.....so tangazo lirekebishwe.
 
tiGO bado kuitambua namba/ huduma hii. Nimejaribu na kuambiwa "Namba ulizoweka ni batili. Huduma hii haijafanikiwa kwa sasa". Je, huduma hii ni kwa ajili ya kuhakikisha usajili? Kama ndio, kwa nini inakuja mwishoni mwa usajili?!!
 
Nimejaribu voda ime-comfirm kuwa nimesajiliwa lakini tigo inakataa, inarespond kwa sms kuwa niandike jina langu na namba ya fomu nitume kwenye 106. Jina halina neno tatizo ni hapo kwenye form maana nilisha-misplace.

Inaonyesha tulifanya kazi ya bure kwenda kupanga foleni na kujisajili kwenye vibanda vya tigo maana inavyoonekana itabidi tuka jisajili tena.
 
Nimejaribu voda ime-comfirm kuwa nimesajiliwa lakini tigo inakataa, inarespond kwa sms kuwa niandike jina langu na namba ya fomu nitume kwenye 106. Jina halina neno tatizo ni hapo kwenye form maana nilisha-misplace.

Inaonyesha tulifanya kazi ya bure kwenda kupanga foleni na kujisajili kwenye vibanda vya tigo maana inavyoonekana itabidi tuka jisajili tena.
Hii ya tigo imetokea hata kwa mzee wangu ameambiwa hajasajili wakati yeye ni wa mwanzo kabis na alisajili kwenye office zao za Nkuruma.
na kwa zante imemtokea hivyo hivyo.

Mimi zantel /tigo zimenipa data zangu kuwa nimesajili, kwa upande watigo jina langu wamekosea herufi na wamenipa option ya kurekebisha.
 
tiGO bado kuitambua namba/ huduma hii. Nimejaribu na kuambiwa "Namba ulizoweka ni batili. Huduma hii haijafanikiwa kwa sasa". Je, huduma hii ni kwa ajili ya kuhakikisha usajili? Kama ndio, kwa nini inakuja mwishoni mwa usajili?!!
Kwa tigo tuma neno "sajili" kwenda namba 106.
 
...kwenye tangazo hili kwenye media wanasema dial hii namba ili u-cross check details zako kama ni sahihi yaani utapata majina yako as you are in register lakini jibu linlokuja linasema tu kwamba umesajiliwa.....so tangazo lirekebishwe.

huo utakuwa ni mtandao wa vodacom, zain/tigo/zantel zina kupa details zako zote.
 
Wateja wa Tigo wapewe taarifa hii kutoka Tigo kuhusu swala la usajili kwamba
Ikiwa hawajasajili hadi leo waende wakasajili kwenye vituo vya karibu mapema iwezekanavyo kwa kuwa siku zimekwisha!!!

Ikiwa watapata mesaji hii hapo chini pia wanatakiwa wafuate maelekezo yaliyopo kwenye meseji hiyo ili namba zao zisije zikasimamishwa kwa madai ya kwamba hazijasajiliwa.
Meseji hii inatumwa kwa wale wateja ambao hadi sasa namba zao hazijaingia katika orodha ya waliosajili namba zao hadi leo.

Ndugu mteja wa Tigo bado hujasajili namba hii, tafadhali jisajili leo. Kama ulijisajili zamani tuma neno JINA kisha jina lako kamili na namba ya fomu kwenda 106.
Tigo tunawashukuru sana watanzania kwa
ushirikiano wao mkubwa katika zoezi hili la kusajili namba zao za simu
Asanteni sana
Meneja uhusiano wa Tigo
Jackson Mmbando
 
*106# - Kujua kama umesajili SIM Card yako au la (Na sio SIMU = Handset)

Ni kwa makampuni yote ya Simu sasa
 
May ze Gud GOD bless you ila hebu wakumbushe tigo nao maana naona bado hawaja-activate ze service
 
naona na apa mpo
jamani hebu tuelezane vizuri,ivi ata nikiandika majina yangu yote na iyo namba ya karatasi ambayo huwezi kaa nao muda wote huu,nilifikiri komputa zao zinatunza ata taarifa za majina basi wakupe jibu kama napo ulisajiri au bado!!unajua inaboa sana mtu ukiangalia muda tuliopanga mifoleni kusajiri (ilibidi tupate ruhusa makazini),halafu leo unaambiwa ujasajili???
mdau ulosema ni SIM au handset registration zote au SIM registration tu???ebu nieleweshwe...maana asubuhi niliambiwa nimeisha jisajiri mchana jibu lasema nimejisajiri,muda mfupi tena sms inakuja eti bado sijaisajiri iyo namba!!!nini iki sasa???
me nilifikiri mitandao ya simu ndo wamebobea ktk IT kumbe bora ata sie???
 
Unachosajili ni SIMCARD hiyo simu yako inasheria na taratibu zake za kusajili namasuala mengine ya hati miliki kwahiyo kampuni ya simu haiwezi kusajili hiyo simu wala kujaribu kuifunga
 
Back
Top Bottom