Recent content by Bobbyray

  1. Bobbyray

    Series (Special thread)

    Huu mzigo wa The Night Manager S02 wa moto sana
  2. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Huyu Rosemary hamna kocha kabisa hana mbinu zozote katika mechi kubwa kilichotokea jana ni aibu timu ina makosa mengi sana
  3. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ww ulitakaje jitu lilishafanya mazungumzo na city kwenda kumreplace Guardiola likaanza kufanya vituko ili avunje mkataba ulitaka tuendelee kupata vipigo
  4. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hawa wamiliki ni shida lakini pia kocha matatizo mengine kajitakia mwenyewe anafanya rotation za ajabu timu mpaka inakosa kikosi cha kwanza kila mechi anafanya mistake za ajabu
  5. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Huyu kocha mechi nyingi sana katupoteza ambazo za ushindi kila shabiki unayejua soka kaliona Hilo
  6. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Yani timu inafanya vibaya wote tunaona ni mistake anazofanya kocha lakini bado kuna watu wanatetea anafanya majaribio kila mechi kama tupo preseason kikosi kila siku kipya wachezaji anachezesha out of position
  7. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Huyu Maresca ni kocha wa hovyo sana
  8. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hapana Uefa wanataka chelsea iuze wachezaji waliocheza conference msimu uliopita
  9. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Haya sasa wako wapi wale waliokuwa wanasema tumepita njia nyepesi mara tumecheza na timu dhaifu
  10. Bobbyray

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Uefa zinaenda timu 6 mzee
  11. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mechi na Southampton hukuangalia mzee Nkunku si alicheza dk zote 90
  12. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sioni sababu ya Gusto na James kucheza pamoja wakati Cucurela yupo vizuri
  13. Bobbyray

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Enzo ni kocha mzuri ila anajifanya mjuaji sana hichi kitu kitakuja kumponza siku za karibuni naona ameanza kuchezesha wachezaji out of position
  14. Bobbyray

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nipeni website ya kucheki mechi
Back
Top Bottom