Ww ulitakaje jitu lilishafanya mazungumzo na city kwenda kumreplace Guardiola likaanza kufanya vituko ili avunje mkataba ulitaka tuendelee kupata vipigo
Hawa wamiliki ni shida lakini pia kocha matatizo mengine kajitakia mwenyewe anafanya rotation za ajabu timu mpaka inakosa kikosi cha kwanza kila mechi anafanya mistake za ajabu
Yani timu inafanya vibaya wote tunaona ni mistake anazofanya kocha lakini bado kuna watu wanatetea anafanya majaribio kila mechi kama tupo preseason kikosi kila siku kipya wachezaji anachezesha out of position
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.