Rogers msimu uliopita Magoal 14 assist 12 all competitions misimu yote miwili mfululizo anakiwashaNgoja msimu uanze. Akiwa vizuri nitasema kweli tumekosa jembe, akiwa shit nitakuepo hapa
Rogers msimu uliopita Magoal 14 assist 12 all competitions misimu yote miwili mfululizo anakiwashaNgoja msimu uanze. Akiwa vizuri nitasema kweli tumekosa jembe, akiwa shit nitakuepo hapa
Kwani Enzo au Caicedo walikuwa Wana umri gani wakati tunawasajiliKwani Mudryk alikua na umri gani wakati mnamchukua?
Haupo serious. Ila endeleaIla ww jamaa eti 50M vitu vingine tuache hujuaji wakati mlitaka kupeleka 100M hakuna mchezaji mzuri utampata kwa bei rahisi sasa mfano mzuri kwa Bruno kule bado ofa yenu ipo chini
Subiri nianze kuchangia pesa ili roho iniume ndiyo nianze kukujibu.Kwani Enzo au Caicedo walikuwa Wana umri gani wakati tunawasajili
Ww ndo haupo seriousHaupo serious. Ila endelea
We angalia tu team nzima ya Argentina inacheza mpira gani kwa kweli hii ni fainali boring nimewahi kuonaEnzo Fernandez this Enzo Fernandez that.
Yupo huko anakula red kipumbavu
Ikawaje muzeye??Na bahati hiyo hawana viande hawa. wana nux, kuna uwezekano mkubwa sana kwenye kombe la dunia hili bingwa akawa hana Arsenal player, wamenyewa hawa mamaee
Kwa kweli....Hoja yoyote nitayoandika hapa ni hoja niliandika wakati mnamchukua Mudryk, Zakaria, Santos na wengine. Arsenal ilionyesha interest kwa Rogers ikawa inataka kupeleka 50M, timu iliyotoka kuchukua ubingwa imeona Rogers ana thamani hiyo, timu iliyoshika nafasi ya kumi inatoa 117M.
Kubababake.
Unawezaje kusema mchezaji wa Arsenal amebeba WC wakati wenzao wakipambana uwanzani wao walikua benchi wanapga umbea.Ikawaje muzeye??
Merino aliwasaidia sana Spain na magoli yake ya ushindi.Unawezaje kusema mchezaji wa Arsenal amebeba WC wakati wenzao wakipambana uwanzani wao walikua benchi wanapga umbea.
Broo ukiwa unamjibu shabiki wa arsenal mjibu wa heshima,ukumbuke unaongea na bingwa wa uingerezaObsessed vipi tena mjomba?? Tatizo lenu ndio hilo mnapenda kuwaza vitu visivyoeleweka, Mwanzoni mlivyokua mnasema hakuna mchezaji wa chelsea aliyefunga kumbe mlikua obsessed??
Acha ubishi.Unawezaje kusema mchezaji wa Arsenal amebeba WC wakati wenzao wakipambana uwanzani wao walikua benchi wanapga umbea.