Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

For 30 years Chelsea
EPL :5
UEFA: 2 as champion 1 as runner up
FIFA CLUB WORLD CUP :1
EUROPA :2
The only team in London to win UEFA champions.

For 30 years FALSE HOPERS(ARSENAL)
EPL : 3
UEFA : 0
EUROPA 0
In short zero European / international trophy .
Ukianza ku punguza miaka 5 /10 utajua why false hopers ni genge la vichekesho.
Tottenham huyu hapa ni worse season kwa epl lakini ana EUROPA 🏆.
Nyinyi katika peak ubingwa ni kumfunga Madrid and kumaliza nafasi ya 2😂😂
Na ukiwauliza hayo makombe yao wameyaona mangapi? Kuna wengine hata moja hawajaliona.
 
Wazee wa kutukana mamba kabla hamjavuka mto Mkohoti na Labyrinth 84 leo naona mmoja wenu au wote wawili mkiingia Europa League.

Angalau Herzogg ana uhakika kidogo wa kuingia UCL.

Ila pia yote kwa yote, natambua kuwa mnapaswa kupongezwa maana nyie mmepanda kutoka msimu uliopita huku akina Herzogg na sisi tumeshuka msimu huu. Sisi kwa viwango vyetu, huu msimu umekuwa mbovu kwetu lakini nyie kwa viwango vyenu, hasa hawa mijusi milia, huu ni msimu wa mafanikio katika historia ya timu yenu. Hongereni.

Tukutane tena msimu ujao muendelee kuchangia points sita sita katika kampeni yetu ya kuchukua ubingwa na makombe tele.
Tutakutana usiku kuonyeshana risiti
 
Kwa hapa theoretically Arsenal hawezi kushushwa hapo.

So battle ipo kwa hawa huku. Hawa ili usiku uharibike inabidi wapate chochote isipokua ushindi halafu Villa ashinde.

Nafasi ya tano tayari Spurs kashaibook. Atayejichanganya kukaa hapo kazi anayo.

Hapa sasa ndiyo kenge ataenda kukaza tako conference league ili aende europa cup kwa mlango wa uwani. Akifanikiwa timu za kwenda europa itakua kenge na palace kwakua palace kashinda FA.

Halafu wengine wataenda Conference league.
Screenshot_2025-05-25-17-15-30-030_com.mobilefootie.wc2010-edit.jpg
 
Onana naye kaambiwa atafute timu.

Na yeye kamind kwamba kukosa kwenda CL inabidi apunguziwe mshahara kwa 25%
 
Kwa hapa theoretically Arsenal hawezi kushushwa hapo.

So battle ipo kwa hawa huku. Hawa ili usiku uharibike inabidi wapate chochote isipokua ushindi halafu Villa ashinde.

Nafasi ya tano tayari Spurs kashaibook. Atayejichanganya kukaa hapo kazi anayo.

Hapa sasa ndiyo kenge ataenda kukaza tako conference league ili aende europa cup kwa mlango wa uwani. Akifanikiwa timu za kwenda europa itakua kenge na palace kwakua palace kashinda FA.

Halafu wengine wataenda Conference league.
View attachment 3345413
Timu sita zitaenda UCL. Yale mambo ya kunyang'anyana nafasi yalishafutwa.
 
Kuna kitu hakijasemwa kilichowasaidia Manyumbu na Spurs kufika fainali, nacho ni kwamba UCL format mpya ilivyo, hakuna timu za UCL zinazoruhusiwa kushuka Europa, kama ilivyokuwa kwamba timu za 3 kwenye group zao zinashuka Europa. UCL sasa usipotoboa unarudi kwenu.

Maana yake ni kuwa hawakukutana na timu zozote zilizotoka UCL. Safari ya Manyumbu na Tottenham ilikuwa nyepesi, asikudanganye mtu.
 
Back
Top Bottom