Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
Can anyone tell me, why has arteta started this stupid idiot Sterling?
Timu sita zitaenda UCL. Yale mambo ya kunyang'anyana nafasi yalishafutwa.Kwa hapa theoretically Arsenal hawezi kushushwa hapo.
So battle ipo kwa hawa huku. Hawa ili usiku uharibike inabidi wapate chochote isipokua ushindi halafu Villa ashinde.
Nafasi ya tano tayari Spurs kashaibook. Atayejichanganya kukaa hapo kazi anayo.
Hapa sasa ndiyo kenge ataenda kukaza tako conference league ili aende europa cup kwa mlango wa uwani. Akifanikiwa timu za kwenda europa itakua kenge na palace kwakua palace kashinda FA.
Halafu wengine wataenda Conference league.
View attachment 3345413
Mh yamefutwa lini bruv?Timu sita zitaenda UCL. Yale mambo ya kunyang'anyana nafasi yalishafutwa.
Nafikiri ni seasons kama 2 au 3 sasa iko hivyo.Mh yamefutwa lini bruv?
Ngoja tupate 100% confirmation hapaNafiki
Nafikiri ni seasons kama 2 au 3 sasa iko hivyo.
Villa wanacheza kama vile hawatakiwi kushinda. Tangu wapo 11Refa kawabeba manyumbu. Walikuwa wanauhakika wa kumaliza wa 17.
Wapuuzi sana wale.Villa wanacheza kama vile hawatakiwi kushinda. Tangu wapo 11
Newcastle is fifth. Lets see kama zitaenda sitaRefa kawabeba manyumbu. Walikuwa wanauhakika wa kumaliza wa 17.
Yea. Zitaenda 6. Ila Villa leo nao wameonja ladha ya dhulma itakayowagharimu pakubwa maana badala ya UCL msimu kesho, wataambulia Europa.Newcastle is fifth. Lets see kama zitaenda sita
Uefa zinaenda timu 6 mzeeNewcastle is fifth. Lets see kama zitaenda sita
Tumetoboa shukrani za dhati kwa kina flano kwa kunipigia villaNewcastle is fifth. Lets see kama zitaenda sita