yaan k
yaan ktk wanaume nenye akili ww mtoa mada n mwanaume tena mwanaume mwnye busara pia hekima! kwn nakuunga mkono kw 100% kwn mawazo yako n chanya n yana tija n pia yanelimisha jamii. n hata tkijaribu kuangalia jamii yetu y sasa vijna wengi gtumepotoka n tunaiga mambo hayana mcngi n...
kiukwl unapaswa kumshukluru mungu km umeweza kupata mpnzi ambae mnapendan kiukwl! pia suala l kuvuta bange n suala baya bt inategemea n hiyo bangi anayovuta inampelekaje kwn km haleti mambo y ajabu c mbya inawezekan hiyo ndio starehe yake kubwa kuliko angekuwa n mlevi w wanawake (malaya). so...
ni kwl mkuu kwn nchi hii inaendeshw kw micng y kuanagali upande mmoja! kwn km pangekuwa n haki ktk nchi hii c dhan km hukum km hii ingeweza kutoka kw style hii! kuikwl umelichambua vizur n ukwl wote upo nje nje! haaaaaaalaaah!
namuunga mkono tundulissu kw 100% kwn anachokiongea n ukwl usiopingika kwn unaona yanyoendelea pale bungeni kwn kw miaka yote tangu nipate akili cjawahi kuona bunge km l kipndi hichi kwn bunge nw days c muhimili w kujitegemea kwn maamuzi yanatolewa n wachache. Ktk uongozi uliopita hakukuka n...
Napenda kukupongeza sn ndugu kw mada yako kwn inamafunzo ndn yake y kutosha! Mm pia binafsi naungan n ww kw 100% kwn unajitahidi kutufundisha na pia umeenda kwny lengo lenyewe la jamii forum kwn unaelimisha jamii! napenda watu km ninyi wenye mawazo yenye tija ktk jamii! Big up sn! kwn pamoja...
mm binafsi nawapongeza sn TAHMEED kwn wameleta mapinduzi sn ktk industry y usafiri nchi hii kw kiac kikubwa n pia wameleta mabac ambayo yan ubora sn n pia yenye ubora! Hongera sn TAHMEED kw ubora wenu!
kw hapo bro umeeleweka kwn hiyo hali y wacwac umewatoa wtu wengi ninaimani nw watakuwa wameelewa mchakato mzima utakavyokwa! pia km atakuwepo mwnye swl namuomba aulize hapa bila kuwa n uoga wowote!
Habarin z asubuhi wapendwa kwn mtoa mada ashukuriwe sana kwn anamuono w mbl n chanya! hongera sn ndugu! napenda sn niwe friend w ww kwn unaonekan unamawazo chanya n pia unaweza kunipa changamoto ktk gurudum hili l maisha! km hutojali plz nawez kuwa friend w wako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.