Recent content by amy 12st

  1. A

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Iongezwe nauli tena? How and why?! Kwa nini isiwe kupunguza gharama zisizokuwa na ulazima
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu mwenyewe connection ya group discusion Economist II tafadhali
  3. A

    JamiiForums Tanzania AI Zinazotumika Zaidi Ulimwenguni Mwaka 2025, Unajua kwa hapa Tanzania ipi inaongoza?

    Mmh! Lini watu wamefika bilioni 46 mbona nipo nyuma sana na taarifa muhimu
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni Ya Mabasi ABC upper class Mnakera Sana

    Kuna siku nimekata tiketi safari ya tunduma gari ya saa moja nafika manzese gari haijafika abiria tunaambiwa gari ipo garage matokeo yake tumepanda gari gari iliyotoka singida imewashusha abiria hapo hapo tumeambiwa wale wa tunduma mtapanda gari hii na safari ikaanza saa tatu kasoro. Hili tatizo...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Tanzania yalipa Fidia ya Tsh. Bilioni 75 kwa kufuta Leseni ya Kampuni ya Madini

    Hii ndio wale walimtuma yule bwana asiyekuwa na ujuzi wa sheria akatetee taifa na akaenda kusema hakujiandaa na kubagazwa na kijana mdogo wa kibeberu sio?
  6. A

    JamiiForums Tanzania Binadamu hatupendani hasa makazini wengine tunafosi tu

    Mambo ya kuzingatia gender balance makazini bila uwezo halisi wa mtu matokeo yake ndio kama haya sasa
  7. A

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Rashford’s decision making is very poor
  8. A

    JamiiForums Tanzania Wanaoomba mkopo kwa sasa ni wanafunzi wa elimu ya juu tu au hata wa vyuo vya kati?

    Ni ushauri tu kama wewe mwenyewe, wazazi, walezi, ndugu, sponsors and so…… wana uwezo wa kukusomesha vizuri achana kabisa na HESLB fanya hivyo tu ikiwa there is no other way. Tunayoyashuhudia huku makazini kwa vimishahara hivi vya ngama ni dhahma hoa jamaa watakopokufikia
  9. A

    JamiiForums Tanzania Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

    Sifananishi matatizo. Nafananisha matumizi sahihi ya akili, rasilimali na uzembe tu.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

    Sio suluhisho la matatizo ya watanganyika
  11. A

    JamiiForums Tanzania Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

    Katika miaka 63 ya uhuru wa wamarekani walikuwa na maendeleo makubwa mara 100 zaidi ya maendeleo ya miaka 63 tuliyokuwanayo waTanganyika
  12. A

    JamiiForums Tanzania Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

    Maendeleo tunayoyaona hayaendani na umri wa uhuru tulionao
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kuhusu 'Wawekezaji'... anaandika Maalim Nash

    Mkurugenzi mtendaji wa chamazi bamia TV
  14. A

    JamiiForums Tanzania Azam TV yapandisha bei za vifurushi kuanzia Agosti 1 mwaka huu

    Sijakuelewa point yako unataka nini hasa?
Back
Top Bottom