Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watu wanahoji brand gani ya football inafundishwa na 7hag
20230923_231814.jpg
 
Watu wanahoji brand gani ya football inafundishwa na 7hagView attachment 2759958
Utakuja kuelewa siku hapo man utd kocha sio tatizo namba 1...

10hag ataondoka kisha atakuja kocha mwengine soon then utaona wachezaji kama kawaida yao watajituma 5-10 games watakusanya points na kucheza vizuri then after that watarudi tu into their default settings... Na mtaanza kumsema humu na wachezaji wataanza ajenda zao aondoke

Hio ndio tabia ya most of those players wa hapo Carrington
 
Utakuja kuelewa siku hapo man utd kocha sio tatizo namba 1...

10hag ataondoka kisha atakuja kocha mwengine soon then utaona wachezaji kama kawaida yao watajituma 5-10 games watakusanya points na kucheza vizuri then after that watarudi tu into their default settings... Na mtaanza kumsema humu na wachezaji wataanza ajenda zao aondoke

Hio ndio tabia ya most of those players wa hapo Carrington
Kwahiyo yaliyosemwa na cristiano kuhusu hawa watoto ni kweli kabisa.
 
Kocha wenu hana mipango...
Nahisi internal talks zisha anza teari na management isha anza slowprocess zakutafuta mbadala wake 10hag na hii ndio shida ya ku coach big teams huwa zinataka matokeo tu no further excuses

Swali
1 nani (kocha gani) atakaeweza kuja kuhimili miki miki za glazzerz na kina rashidi bruno sancho

2 atadumu au naye atapewa muda then tutamfurusha

3 jee tutazidi kwenda mbele au ndo tunazidi kujichimbia kaburi
 
Hizi ni timu za kuzipeleka moto kwa dakika 70 tu, baadae unapumzika.

Ndio man utd nilioizowea
Kwa kundi la wachezaji alilonalo Ten Hag mtamtukana bure tu.

Ni kundi hilo hilo walishindwa kufanya pressing chini ya Rangnick wakawa wanacheza dakika 30 zingine wanarudi default mode.

Mwanzo wa msimu wa 2021/2022 Ten Alitaka kucheza mpira wake kilichotokea sote tuliona, aliamua kubadili mbinu kumitigate risks timu ilikaa sawa.

Msimu huu pia amejaribu kurudi kwenye mfumo wake tumeona yanayotokea ni pattern ya hao wahuni.

Hata wakifundishwa na Mungu hawatabadilika.

They are uncoacheable.
 
Back
Top Bottom