Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,842
- 32,726
Kwa kundi la wachezaji alilonalo Ten Hag mtamtukana bure tu.Hizi ni timu za kuzipeleka moto kwa dakika 70 tu, baadae unapumzika.
Ndio man utd nilioizowea
Ni kundi hilo hilo walishindwa kufanya pressing chini ya Rangnick wakawa wanacheza dakika 30 zingine wanarudi default mode.
Mwanzo wa msimu wa 2021/2022 Ten Alitaka kucheza mpira wake kilichotokea sote tuliona, aliamua kubadili mbinu kumitigate risks timu ilikaa sawa.
Msimu huu pia amejaribu kurudi kwenye mfumo wake tumeona yanayotokea ni pattern ya hao wahuni.
Hata wakifundishwa na Mungu hawatabadilika.
They are uncoacheable.
Chelsea to top 7 our first priority then we aim more further