Binadamu hatupendani hasa makazini wengine tunafosi tu

Binadamu hatupendani hasa makazini wengine tunafosi tu

Yalinikuta....mama mmoja kazini analazimisha hela watu tuchange ili aende Bagamoyo kumroga boss.
Mie nilikataa..ikawa ni vita mbaya sana.
Hata hivyo nilikuja kupata story kwamba kule Bagamoyo walienda na mbuzi..mganga akawaambia huyu boss yeye alichinja ngamia kwa hiyo mbuzi hatoshi.
 
Yalinikuta....mama mmoja kazini analazimisha hela watu tuchange ili aende Bagamoyo kumroga boss.
Mie nilikataa..ikawa ni vita mbaya sana.
Hata hivyo nilikuja kupata story kwamba kule Bagamoyo walienda na mbuzi..mganga akawaambia huyu boss yeye alichinja ngamia kwa hiyo mbuzi hatoshi.
Yani mtu yupo tayari akupoteze katika gem mazima.
 
Haiwezekani mtu sili kwako, hunipi msaada wowote, sina ukaribu wowote na wewe hizi chuki, fitina, figisu zinatoka wapi? Uwepo wangu kazini wewe unapungukiwa nini?

Tuheshimiane jinsia ya kike kazini upuuzi tupu. Mwenye masikio na asikie sitaki mazoea

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Wanawake ni ovyo sana huku makazini hasa halmashauri, maneno mengi umbeya, figisu fitina, kazi kupiga hamna, kila siku ni excuses za kwenda kulea watoto nyumbani, naomba mungu nihepushwe kufanya kazi na manamake yana tabu sana.
 
Wanawake ni ovyo sana huku makazini hasa halmashauri, maneno mengi umbeya, figisu fitina, kazi kupiga hamna, kila siku ni excuses za kwenda kulea watoto nyumbani, naomba mungu nihepushwe kufanya kazi na manamake yana tabu sana.
Ukiingia kwenye 18 zao unaliwa kichwa mkuu. Na wanapenda ushirikina balaa
 
Short tale..
Alisoma shule za seminari kuanzia kidato cha 1 mpk cha 4. Akapata mfadhili wa kumsomesha kidato cha 5&6. Akafaulu vizuri. Akapata scholarship nchi za nje. Akaweza kupata bsc. na masters. Alikua kijana mwenye haiba nzuri, mwerevu, mpole na mcha Mungu. Kiongozi flani (kwa sasa he is late) akaunyaka wasifu wake. Akamrudisha nchini na kumpa kitengo katika balozi za nchi zilizoko kusini.

Alivyoingia pale, wahafidhina wakamuona ni tishio. Aliendelea kumcha Mungu. Behind the scene kuna njama zikasukwa. Akapewa kesi ya human trafficking. Mpk kuja kuprove sio kweli, miaka imepita shwaa. Hakuweza kupata ajira tena. His character was assasinated. Akarudi mbwinde kuishi. Akaamua kulima zake mahindi madongoni. His career slapped him hard.

10 years later:
Paroko mmoja katika shirika la white fathers anatembelea mbwinde. Akasikia story yake. Ashukuriwe Mungu kuna mchongo wa maana na huyu victim ni fit candidate. Akatafutwa, fanyiwa counselling, pigishwa interview, akafaulu. Sasa aanze kujiandaa kwenda kureport nchi za mbali....guess what.......
Akapata ajali ya bodaboda, akiwa na passport yake mkononi. He is no more!!😞😞

Kuna msemo unasema keep your friends close and your enemies closer. Naona hapa ulibackfire kinoma....
MUNGU atutetee katika sehemu zetu za kujipatia kipato. Kuna vita sana ktk kuupata mkate wa kila siku..
Neema ya Kristo ikae nawe...
 
Mkuu ujakutana na situation wewe sure nakuambia omba usipitiwe na huu upuuzi
Kweli kabisa maana sijawahi ajiriwa na chanzo kilikua kutotaka kunyenyekea au kuyumbishwa kwa mambo ya ajabu ajabu. Napenda sana kuwa huru. Naweza amka alfajiri nikakaa pale ferry na kuanza kuangalia watu wanavyokimbizana makazini wengine sura zao hazina furaha na ni asubuhi kabisa. Kuna dada mmoja white lazima apite na pantoni ya kwanza muda mwingine akisikia honi ile anakimbia kabisa yaani hayo mambo yanaukwaza sana moyo ila xha msingi mtu aingize chochote mfukoni utumwa au karaha zinafutwa na pesa unayopata. MUNGU ANAWAPIGANIA
 
Balaaa, tupu tunakaza sana lakini kuna wakati wanakuja wanakusaka
Wanawake ubinafsi unawasumbua Sana ukiwatongoza shida usipowatongoza wakioa upo happy na hukosi kulipa bills zako Basi wanaanza ku-hate bila sababu.

Hawa Jamaa usithubutu kuongea nao habari yoyote senstive stay away with them.

Wape salamu tu inatosha nothing else.

Then nyie wanaume ndo mnasababisha yatokee yote haya kuwashobokea Hawa KE tena Sehemu za kutafta ugali so usikubali
 
Wanawake ubinafsi unawasumbua Sana ukiwatongoza shida usipowatongoza wakioa upo happy na hukosi kulipa bills zako Basi wanaanza ku-hate bila sababu.

Hawa Jamaa usithubutu kuongea nao habari yoyote senstive stay away with them.

Wape salamu tu inatosha nothing else.

Then nyie wanaume ndo mnasababisha yatokee yote haya kuwashobokea Hawa KE tena Sehemu za kutafta ugali so usikubali
Yani anakuchukia bila sababu dadeki walahi ukileta maneno unachomwa kwa boss huna kazi dah
 
Aisee hili jambo haliwezi kuisha kama ubaguzi wa Rangi

Nina Mfano hai

Mtu katiliwa fitna aondolewe sehemu Y akarudishwa wizarani ghafla bin Vuu anaitwa sehemu D yenye maslahi na yy zaidi kuliko pale mwanzo

Kwaio watumishi kuweni na subra tu mtu akikufanyia fitina we kubali yaishe Muombe Mungu hakika Mungu hawezi kumtupa mja wake
 
Naona wanawake wanawake, niwaambie tu wanaume sikuhizi wanaongoza kwa umbea siyo maofisini tu hata mtaani! Wanakusema wazi wazi bila kificho...kiukweli mie mazoea ya ajabu sitaki, tusalimiane nipite vile!

Megundua wanaume nyie mfyuuu zenu wanafikia, wambea balaaa kabisa
 
Back
Top Bottom