Wanawake muda wote hawana mpango mkakati wa muda murefu kuwezesha kile ambacho wamewekeza kwacho.na ndo maana muda mwingi mambo yao yanaexpire mapeeeeeema.
Naona hawa waandaaji wa mswaada huu,hawana future ya taifa la kesho zuri kwa vijana wetu hawa ambao kila leo wanawaandalia mitaala ya elimu ambayo ni butu na haina ushindani duniani.uliona wapi duniani anakuwa qualified hadi jwa maks 19?.jamani acheni siasa kwenye taaluma .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.