Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
kwani vipi,wachungaji wetu watukufu wamefanya nini tena?Mm ni mkristo nashindwa kuelewa hua wanapewa nini awa wachungaji
Mnamuelewa uyu Mtetemela? Naona amekua msemaji wa serikali sasa
kwani vipi,wachungaji wetu watukufu wamefanya nini tena?Mm ni mkristo nashindwa kuelewa hua wanapewa nini awa wachungaji
Mnamuelewa uyu Mtetemela? Naona amekua msemaji wa serikali sasa
Mm ni mkristo nashindwa kuelewa hua wanapewa nini awa wachungaji
Mnamuelewa uyu Mtetemela? Naona amekua msemaji wa serikali sasa
Mm ni mkristo nashindwa kuelewa hua wanapewa nini awa wachungaji
Mnamuelewa uyu Mtetemela? Naona amekua msemaji wa serikali sasa
Kidumu chama cha mapinduzi.................
lakini kakobe alikua anatoa mawazo yake tu,haina maana kuwa anawaunga mkono chadema kisiasa.ni makosa sana kwa viongozi wa dini kujihusisha na siasa,na wanapoamua kujihusisha wanapaswa kuwa neutral,i am glad the denomination i am is off political sphere!
Mm ni mkristo nashindwa kuelewa hua wanapewa nini awa wachungaji
Mnamuelewa uyu Mtetemela? Naona amekua msemaji wa serikali sasa
Niseme tu hawa viongozi wasikosee kusema hayo ni maoni ya waumini wao. Hayo ni purely maoni binafsi na sisi tunayo yetu tofauti. Hanishawishi hata kidogo kwani kapotoka kumwita Nyerere MtakatifuUmesahau hii?
"Sitta kukutana na Viongozi wa Dini"
Hapa ndipo kiini cha Lukuvi kusimama kanisani kuropoka, Mtetemela leo kuropoka bungeni, mjumbe wa BAKWATA jana kuropoka bungeni.
Umeelewa sasa?
Niseme tu hawa viongozi wasikosee kusema hayo ni maoni ya waumini wao. Hayo ni purely maoni binafsi na sisi tunayo yetu tofauti. Hanishawishi hata kidogo kwani kapotoka kumwita Nyerere Mtakatifu
Naomba kujuzwa kama bunge maalum la katiba leo tarehe 17/4 linaendelea baada ya wana UWAKA Kujitoa?