uyui kwetu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 1,216
- 787
Toka Kikwete kaanzisha TAKUKURU tunaona kesi nyingi za rushwa kuliko wakati wowote ule mahakamani, tumeona mawaziri na waliokuwa mawaziri wakifikishwa mahakamani. Uliyaona hayo kabla ya TAKUKURU.
Usisahahu ni nani aliyoianzisha TAKUKURU na usisahau ni nani aliyoipa meno, na bado meno hayatoshi na inaendelea kuboreshwa. Usifikiri taasisi kama hiyo inaanzishwa leo na kuwa na sheria zote mikononi mwake leo, uozo uliokuwepo kwa miaka 44 kabla ya Kikwete si rahisi kutatua kwa siku moja. Lakini kazi zake na mafanikio yake wenye macho tunayaona:
Statistics as from 2005 to October 2013 translate as follows:
Source: Case Statistics
- 49,853 Allegations were received since 2005 to OctoberNot all the allegations being reported are related to corruption.
- Number of administrative actions taken against public servants proven to be inclined to take bribes and other corrupt behavior since 2005 to October 2013 is 816 Public Servants.
- Number of new cases filed into courts since the new Act (PCCA, 2007) became operational are 1,557 cases.
- Number of convictions against corrupt offenders in courts since 2005 to October 2013 are 378.
- Money recovered by PCCB for the period 2005 to October 2013 is to the tune of Tshs. 47,686,737,345/= Billions.
Uliyaona hayo kabla ya Kikwete?
n'a hiyo takukuru ndio iliyofanya kazi ka wale wezi wa pesa za umma wazirudishe n'a kuwa huru je ingekuwa kwa mwizi wa kuku angeambiwa arudishe kuku? kuleni bata sana n'a mjiwekee vikampuni uchwara kwa ajili ya kula pesa za umma