Msimamo wa mabachela juu ya valentine day

Msimamo wa mabachela juu ya valentine day

Ni siku ya kawaida sana.hakuna nipya complications wa wanadamu tu.
 
jamani mabachelor si mje basi kujitambulisha nyumbani valentine hii. mnatutesa magelofrend mjue! na sahv tumegoma kupokea zawadi zenu.

Chezea zawadi ww angalia utabaki mwnyw kwnye mgomo..
 
UKIONA UMEJIANDAA SANA NA VALENTINE UHUSIANO WAKO UNA UFA:
Taratibu tutaelewana tu..Unasubiria Ijumaa ya Tarehe 14 kwa nguvu sana ILI IWEJE???Labda kama ni Anniversary ya penzi lenu(mlikutana siku ya tarehe hiyo),kwamba ni muhimu kuadhimisha..Wewe penzi lako na mchuchu mmeanza June 12,Valentine inawahusu nini??Mwaka mzima ulikuwa wapi??
Watu wenye Mapenzi STRONG siku hii ni Ijumaa ya kawaida kabisa na wataenda SKYLIGHT tu Thai Village kama hamna kinachoendelea,ila WEWE na uhusiano wako wa Bagia na Chumvi ndo unataka Ufufukie Ijumaa..Halafu Jumapili Mzike tena mpaka mwakani.
Kwangu mimi Valentine ni kila siku...Nikikuta nguo nzuri ya bebe nanunua nampelekea,hata kama ni November 19...Nikimmiss namfuata ghetto tunaenda Dinner Capetown Fish Market kula...Akiona kiatu kizuri ananunua anani-surprise,hata kama ni August 7
Penzi lililokufa halitabustiwa na Valentine Day kamwe...Kama hupendwi hupendwi tu,Penzi halifufuki Ijumaa...Penzi lililojengwa kwenye misingi Imara huenjoy Valentine kila siku
Narudia tena,Ukiona umepania sana Ijumaa ujue Penzi lako lina shida kwa sababu hata LEO inaweza kuwa Valentine yako ukiamua.Penzi la kweli halina tarehe kama Kalenda.

Well said Mkuu.
 
Hali zenu wana wa MMU? Nahitaji kutambua msimamo wa chama cha mabachela juu ya ushiriki katika siku ya VALENTINE.

Kabla ya kuandika kitu uwe unasoma kwanza ili upate data za kutosha kujua historia na maana ya kitu unachokiandikia. Tafuta historia na maana ya valentine utaelewa kuwa valentine unayoielewa wewe unadhani inawahusu wapenzi tu au mke na mume tu. Jibu ni la, waweza kumnunulia zawadi hata mama yako, dada yako, kaka yako au hata rafiki yako wa kawaida tu. lengo likiwa ni kudumisha upendo. Tatizo lenu wabongo ni kuwa upendo mnaouelewa nyie ni ule wa ngono tu!
 
Zamaulid;8670206]umechemka mkuu kitu mwezi wa nn tarehe moja



Ma weee!!ii huyo amekudanganya baba paroko,
cku hiyo ni Valentine ya wajinga duniani.
yenyewe iaadhimishwa tar moja may kila mwaka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom