Stela Setumbi na Roy Maganga, ni mke na mume ambao kwa sasa wapo TBC...Fredwaa na Rahabu Fred [ zamaniFungo]ambao pia ni mke na mume kwa sasa wapo Times FM Dar
Huyo Fredwaa bastola yupo media gan kwa sasa?
Lazaro Matarange, huyu ndiye Alex Ngusa Matarange. Au mawenge wenge yangu?
Alikuja Radio one, Akawa anatangaza taarifa kwa jina la Alex Ngusa, wakati huohuo anapiga Clouds kwa jina la Alex Matarange.
Siku hizi sijui kapotelea wapi.
^^
Enzi za Jeni Mkama, kipindi cha matukio saa 12:45 asubuhi, na wadhamini wa sabuni ya Komoa!!
Enzi zile matukio ni matukio kweli si hotuba za wanasiasa kama hivi leo
^^
Kuna jembe la Anga za kimataifa pale Samadu Hassan Madulu
Joan Itanisa alikuwa msoma ahabari mrembo zaidi afrika mashariki na kati.
Ilikuwa akisoma habari Star TV sielewi kitu mpaka anamaliza, nilikuwa nabarikiwa sana.
yupo clouds fm ila kwa sasa nadhan yupo kwenye production,hatangaz tangaz saaaana
Huyu kwa sasa yupo idhaa ya kiswahili ya Marekani VOA.dah Mkamiti Juma yu wapi, sauti yake ilikuwa balaa!
yupo kweli clouds lkn hayupo production,
anafanya pale part time, ni mwajiriwa wa wizara ya fedha-hazina, dar es salaam
yupo Times Fm na Rahab Fredy,
usungu yupo dodoma(sikumbuk redio gani)bt bado anatangaza
Rfa ilikua zamani bhana,enzi za kina Soggy doggy,na kidbway enzi za showtime,it was 2001~2003,nlikua sibanduki,duh!kwa sasa rfa kwisha kabisa,naishia kusikiliza magazeti tu asubuhi na wakimaliza nazima redio hadi kesho tena.........