Komla Dumor of BBC is no more

Komla Dumor of BBC is no more

i know this man work with the bbc focus on africa may lord rest his soul in peace.
 
jana nimemsikiliza na kumuangalia katika focus on Africa....rip...
Jana au juzi nilimuona akifanya mahojiano kuhusiana na South Sudan. I felt something lakini sikujua ni nini,pengine na mie nna kipaji cha TB Joshua!?
 
Huwa napenda kumuona kwenye screen yangu na miwani yake ilikuwa ikimpendeza kwelkwel dah!
 
Jamani the guy was so good na alikuwa anaipenda kazi yake. Sijui amekufa na nini at such a young age. Kumbe ni kijana wa 1972 tu?

RIP Komla.

Tiba

Dumor died suddenly on 18 January 2014 in his London home after a cardiac arrest.
 
Jamani the guy was so good na alikuwa anaipenda kazi yake. Sijui amekufa na nini at such a young age. Kumbe ni kijana wa 1972 tu?

RIP Komla.

Tiba
He! Hata mimi sikutegemea kama jamaa alikuwa kijana kiasi hicho eti 42 yrs? Yaani hii miili yetu nayo bwana taabu kweli kweli maana unaonekana kama umezeeka vile kumbe ndo baaado! Hata sisi wengine sasa hivi tunaitwa wazee at our 40s!!

Jamaa alikuwa akitangaza huchoki kumsikiliza!

RIP Komlar
 
dah kweli maisha ya binadamu mafupi maana ni juzi tu night 2 zimepita nlikuwa naangalia kip chao cha focus in africa.
RIP MAN
 
Jana au juzi nilimuona akifanya mahojiano kuhusiana na South Sudan. I felt something lakini sikujua ni nini,pengine na mie nna kipaji cha TB Joshua!?

huwezi amini hata sisi tulimdiscuss. kweli ya Mungu mengi.
 
Du inasikitisha daaa apepe komla,heart attack kwa africa kuidhibiti ni kazi sana labda mtoni.
 
Duh, sasa binti Ikenye anabaki peke yake kwenye focus on Africa!
 
May her soul rest in peace we love you but GOD love you more!
 
Duh hata mie imenistua,but ukweli utabaki palepale kwamba katangulia.
 
Back
Top Bottom