Njia rahisi ya kusahau shida zako.

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Mwanjelwa Mbeya Tanzania.
 
kwahiyo unajitengenezea maumivu ili akili ishindwe kutulia katiaka shida uliyonayo. hiyo hifai mkuu
pole shida kama zipozipo tu suala pambana nazo uzipungunze au zimalize kabisa ok.:disapointed:
 
Kweli we comedian yaan hii kitu haina uhusiano na kusahau shida kabisa, ila nimecheka sana

Etii zaidii nikujiumizaa tu vidolee vyakoo una angalia wapi unapo chagua viatu mpaka ukanunue vinavyo kubana mmmmh just comed
 
Etii zaidii nikujiumizaa tu vidolee vyakoo una angalia wapi unapo chagua viatu mpaka ukanunue vinavyo kubana mmmmh just comed

Sio kwamba unajisahau hadi unanunua viatu vinavyokubana, bali unanunua makusudi kwa ajili ya sababu niliyoitaja hapo juu.
 
Mhhh! Hiyo Kal Lakin Mkuu Mi Nimevaa Sana Viatu Vinavyo Nibana Sijaona Cha Uhafadhal Shida Zipo Palepale, Reseach Hiyo Umaefanyia Wapi Ndugu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom