Kiingereza kimesababisha kuwa na wasomi wenye idadi kubwa ya vyeti isiyo uiana na uelewa wa wao kwani hujifunza kwa kukariri. Mtu anapojifunza kwa lugha mama huelewa zaidi na inaongeza nafasi ya kuwa mahili katika jambo ajifunzalo. Kinacho hitajika ni uhiyari na maandalizi ya kutosha kufanya...
Mchungaji Malecela ametia aibu kama kweli hayo ndio majibu yake. Sikutarajia kwa msomi kwa Biblia kusema kila mmoja aongozwe na dhamira katika sikukuu ambayo husherehekewa kwa watu kusema uongo ikiwa Kuna mistari ya kutosha ktk Biblia inayo kataza uongo. Kama viongozi wa kiroho wanashindwa kutoa...
Issa sio Yesu kristo. Ndio maana biblia ya kiarabu haitumii neno Issa bali YASUA. Halafu ukafiri hauwahusu wakristo, kafiri maana yake mpingaji na uislamu umekuja miaka mia tano baada ya ukristo ikiwa ni mpango mahususi wa shetani kupinga ukristo. Ndio maana Siku zote uislamu hauwezi kusimama...
Adhabu ya viboko iondolewe au ipunguzwe? Maana kama kuondolewa, lazima uje na mbadala. Huwezi kuondoa viboko Afrika kwa tafiti zilizo fanywa ulaya, wataalamu wetu(watafiti ) waje na majawabu kwa mazingira yetu. Hivi tatizo ni mtoto kuchapwa viboko au walimu kuwachapa wanafunzi? kama tunalengo...
Kama wanawake wako milioni Moja zaidi ya wanaume, je, wanaume ni wangapi? Je, tofauti hiyo yatosha kila mwanaume Kuowa wanne? Kwanini hukushauri Kiowa idadi tofauti na wanne? Nahisi ni kampeni ya kidini. Samahani lakini
Hama jumuiya kwani unaweza mwambia hauko tayari kufanya uzinzi, yeye akageuza na kuripoti kwa viongozi wenzie kuwa wewe unamtongoza. Atakuharibia familia huyo ikimbie zinaa HAMA kimyakimya
"Chama kimewanusuru wengi nusura wafukuzwe kazi na utumishi kwa sababu ya kupenda watoto wa shule" sentensi hii imesababisha nipate maswali yafuatayo. 1.mwandishi amelenga walimu wazinifu wajiunge na chama hiki ili wanapo wazini watoto wa shule chama kiwatete...
Kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini, makato ya agency fees hufanyika baada ya makubaliano ya pande tatu(mwajiliwa, mwajili na chama)Makubaliano hayo lazima yaoneshe chama kitamfanyia nini mwajiliwa. Walimu wenzangu tambueni kuwa malipo yeyote unayo towa kwa chama cha wafanyakazi...
Walimu acheni woga, tafuteni kujuwa haki zenu kisheria. Ni kosa kisheria kukata mshahara wa mfanyakazi bila idhini yake, ndio maana kila katiba ya chama chochote cha wafanyakazi ina utaratibu wa kujiunga na chama hicho pia ina kipengele cha ukomo wa uanachama. Sisi hapa Manispaa ya Kigoma ujiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.