proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,357
- 6,896
Kila kunapokucha kiswahili kinasisitizwa sana kiwe lugha ya kufundishia kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu,
Hiki kiswahili kitakupeleka wapi? Ili hali hata masomo ya art yameshapuuzwa? Wanafunzi wanasisitizwa kusoma sayansi la hasha hicho kiswahili wapi tena sasa.
Licha ya hivyo ni mtoto wa nan mwenye hela anasoma shule za kiswahili?
Tuna bidhaa gani tunazozalisha ili kutangaza kiswahili nchi za nje?
Bunge la afrika mashariki lenyewe lazima watu watoe sera kwa kiingereza
Ni masomo gani ya shule za sekondari yanatolewa kwa kiswahili isipokua kiswahili chenyewe?
Licha hivyo watafanya transilation lkn utakuta mtu kaandika labda chloroquine, sulfuric utabaidilishaje kwa kiswahili? Na hao unao waandaa watapata wapi soko?
Nchi nyingine wanakienzi kiingereza japokua kiingireza si njia kuu ya maendeleo
Tungekienzi mda huo tungekuta masomo yote yapo kwa kiswahili Lkn hadi sasa msingi kiswahili sekondari kiingereza.
Kiswahili kimeandaliwa ili maskini aendelee kuwa maskini kwa maana hapo ni fumbo,watoto wa matajiri wanasoma shule za kiingireza.
Hiki kiswahili kitakupeleka wapi? Ili hali hata masomo ya art yameshapuuzwa? Wanafunzi wanasisitizwa kusoma sayansi la hasha hicho kiswahili wapi tena sasa.
Licha ya hivyo ni mtoto wa nan mwenye hela anasoma shule za kiswahili?
Tuna bidhaa gani tunazozalisha ili kutangaza kiswahili nchi za nje?
Bunge la afrika mashariki lenyewe lazima watu watoe sera kwa kiingereza
Ni masomo gani ya shule za sekondari yanatolewa kwa kiswahili isipokua kiswahili chenyewe?
Licha hivyo watafanya transilation lkn utakuta mtu kaandika labda chloroquine, sulfuric utabaidilishaje kwa kiswahili? Na hao unao waandaa watapata wapi soko?
Nchi nyingine wanakienzi kiingereza japokua kiingireza si njia kuu ya maendeleo
Tungekienzi mda huo tungekuta masomo yote yapo kwa kiswahili Lkn hadi sasa msingi kiswahili sekondari kiingereza.
Kiswahili kimeandaliwa ili maskini aendelee kuwa maskini kwa maana hapo ni fumbo,watoto wa matajiri wanasoma shule za kiingireza.