Habari ya asubuhi wakuu. Mimi ni mfanyakazi wa serikali. Mwaka 2014 nilichukua mkopo kwenye benki moja kwa mashart ya kukatwa kwenye mshahara wangu kwa muda wa miezi 48 (miaka minne).
Lakini pia mkataba uliruhusu kulipa kwa mkupuo binafsi baada ya kukatwa kwenye mshahara wangu kwa muda...
Pole sana mkuu; vyeti vya ndoa vya serikali huwa wanapewa mashehe, au wachungaji, au mapadre au maaskofu rasmi ambao wana vibali rasmi vya kufungisha ndoa. Kwa wakristo si kila anayeitwa mchungaji anakuwa na uwezo wa kufungisha ndoa bali mwenye kibali tu. Kwa waislamu unaweza kufungishwa ndoa na...
Habari wakuu. Simu yangu aina ya HUAWEI Y520 huwa inazima kila baada ya dk 3, hususani nikiwa ninaitumia; ila kama siitumii na nimeiwasha, haizimi. Nimejaribu kufanya factory reset zaidi ya mara tano lakini bado tatizo linaendelea. Kwa wajuvi wa tatizo hili, suluhisho ni nini?
Huyo dada amechemsha; ukimsikiliza vizuri utagundua alibeba mimba October 2015 halafu amejifungua December 2016, kwa hesabu ya kirumi alibeba mimba miezi 14 ni uongo ulikithiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.